• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 8:46 PM

Mwandishi akaangwa kudai wanawake wazee hawawezi kumsisimua kimahaba

MASHIRIKA na PETER MBURU MWANDISHI mmoja kutoka Ufaransa amekashifiwa vikubwa kufuatia matamshi yake kuwa hawezi kupenda wanawake walio na...

SHANGAZI AKUJIBU: Nilimuacha nilipomfumania akiwa na dadangu

Kwako shangazi. Nililikuwa nimeaolewa lakini nikamuacha mume wangu baada ya kumfumania ndani ya nyumbani yetu akiwa na dada yangu. Huu sasa...

FUNGUKA: ‘Tunavyosisimua ladha chumbani…’

NA PAULINE ONGAJI KATIKA jamii nyingi, ndoa hasa huhusisha mwanamume mmoja na mwanamke mmoja. Aidha kuna jamii zingine ambazo...

Atwangwa na mke kumsingizia ufuska

Na TOBBIE WEKESA Kakamega Kizaazaa kilizuka hapa baada ya polo kupewa kichapo kwa kudai mkewe na shemejiye wana uhusiano wa...

Msichana akatalia kituoni hadi mvulana mpenziwe aachiliwe huru

Na STEPHEN ODUOR MSICHANA wa miaka 17 katika Kaunti ya Tana River, amekataa kuondoka katika kituo cha polisi alipoachiliwa huru baada ya...

MAPENZI MAHAKAMANI: Jacque na Jowie kujua hatima yao Oktoba 30

Na RICHARD MUNGUTI KATIKA siku iliyojaa mapenzi na kukumbatiana mahakamani, mwanahabari Jacque Maribe na mchumba wake Bw Joseph Kuria...

Ajuta kuuza shamba ili anase mke wa rafiki

Na CORNELIUS MUTISYA Kathuma, Machakos JOMBI wa hapa anajuta baada ya kuuza shamba lake ili apate hela za kumpagawisha mke wa rafiki...

Vipusa walimana kanisani wakizozania polo

Na TOBBIE WEKESA Kibabii, Bungoma Waumini wa kanisa moja la hapa walibahatika kutazama sinema ya bure mrembo mmoja alipomuangushia...

Huddah sasa akiri kuwezwa na uhodari kwa kidume kipya chumbani

Na PETER MBURU MSOSHALAITI Huddah Monroe hatimaye amepata mpenzi, na sasa anataka kila mtu duniani ajue kuhusu uwezo wa dume lake...

Madiwani wa kike kuadhibiwa kwa kupigania dume

FRANCIS MUREITHI na MWANGI MUIRURI Madiwani wawili wanawake wa Bunge la Kaunti ya Nakuru, huenda wakachukuliwa hatua za kinidhamu kwa...

Mtalii ndani miaka 18 kwa kupapasa wasichana kutoka jamii maskini

Na BENSON MATHEKA MTALII raia wa Uingereza aliyetumia pesa kuwadhulumu kimapenzi wasichana wenye umri mdogo akizuru Kenya amefungwa jela...

SHANGAZI: Nimegawia wengi asali lakini sijawahi kuhisi utamu

Na SHANGAZI SIZARINA Shikamoo shangazi. Nina umri wa miaka 28 na nimekutana na wanaume kadhaa tangu nijue masuala ya mahaba. Ajabu ni kuwa...