Tag: mapenzi
- by adminleo
- January 8th, 2019
Mwandishi akaangwa kudai wanawake wazee hawawezi kumsisimua kimahaba
MASHIRIKA na PETER MBURU MWANDISHI mmoja kutoka Ufaransa amekashifiwa vikubwa kufuatia matamshi yake kuwa hawezi kupenda wanawake walio na...
- by adminleo
- December 28th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Nilimuacha nilipomfumania akiwa na dadangu
Kwako shangazi. Nililikuwa nimeaolewa lakini nikamuacha mume wangu baada ya kumfumania ndani ya nyumbani yetu akiwa na dada yangu. Huu sasa...
- by adminleo
- December 1st, 2018
FUNGUKA: ‘Tunavyosisimua ladha chumbani…’
NA PAULINE ONGAJI KATIKA jamii nyingi, ndoa hasa huhusisha mwanamume mmoja na mwanamke mmoja. Aidha kuna jamii zingine ambazo...
- by adminleo
- November 21st, 2018
Atwangwa na mke kumsingizia ufuska
Na TOBBIE WEKESA Kakamega Kizaazaa kilizuka hapa baada ya polo kupewa kichapo kwa kudai mkewe na shemejiye wana uhusiano wa...
- by adminleo
- November 14th, 2018
Msichana akatalia kituoni hadi mvulana mpenziwe aachiliwe huru
Na STEPHEN ODUOR MSICHANA wa miaka 17 katika Kaunti ya Tana River, amekataa kuondoka katika kituo cha polisi alipoachiliwa huru baada ya...
- by adminleo
- October 24th, 2018
MAPENZI MAHAKAMANI: Jacque na Jowie kujua hatima yao Oktoba 30
Na RICHARD MUNGUTI KATIKA siku iliyojaa mapenzi na kukumbatiana mahakamani, mwanahabari Jacque Maribe na mchumba wake Bw Joseph Kuria...
- by adminleo
- October 9th, 2018
Ajuta kuuza shamba ili anase mke wa rafiki
Na CORNELIUS MUTISYA Kathuma, Machakos JOMBI wa hapa anajuta baada ya kuuza shamba lake ili apate hela za kumpagawisha mke wa rafiki...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Vipusa walimana kanisani wakizozania polo
Na TOBBIE WEKESA Kibabii, Bungoma Waumini wa kanisa moja la hapa walibahatika kutazama sinema ya bure mrembo mmoja alipomuangushia...
- by adminleo
- August 29th, 2018
Huddah sasa akiri kuwezwa na uhodari kwa kidume kipya chumbani
Na PETER MBURU MSOSHALAITI Huddah Monroe hatimaye amepata mpenzi, na sasa anataka kila mtu duniani ajue kuhusu uwezo wa dume lake...
- by adminleo
- August 2nd, 2018
Madiwani wa kike kuadhibiwa kwa kupigania dume
FRANCIS MUREITHI na MWANGI MUIRURI Madiwani wawili wanawake wa Bunge la Kaunti ya Nakuru, huenda wakachukuliwa hatua za kinidhamu kwa...
- by adminleo
- July 19th, 2018
Mtalii ndani miaka 18 kwa kupapasa wasichana kutoka jamii maskini
Na BENSON MATHEKA MTALII raia wa Uingereza aliyetumia pesa kuwadhulumu kimapenzi wasichana wenye umri mdogo akizuru Kenya amefungwa jela...
- by adminleo
- June 22nd, 2018
SHANGAZI: Nimegawia wengi asali lakini sijawahi kuhisi utamu
Na SHANGAZI SIZARINA Shikamoo shangazi. Nina umri wa miaka 28 na nimekutana na wanaume kadhaa tangu nijue masuala ya mahaba. Ajabu ni kuwa...