Tag: mapenzi
- by adminleo
- June 13th, 2018
PAMBO: Yaliyopita yasiwe ndwele kwako
Na Benson Matheka WATU wakiachwa na wachumba wao au wakipata talaka huanza maisha mapya ya mapenzi. Wataalamu wanasema watu hao huwa na...
- by adminleo
- May 21st, 2018
SHANGAZI: Mpenzi hajawahi kuniambia kuwa ni mke wa mtu
Na SHANGAZI SIZARINA Shangazi, nimependana na mwanamke fulani kwa mwaka mmoja sasa. kuna mwanaume amekuwa akinipigia simu mara kwa mara...
- by adminleo
- May 6th, 2018
Mke ataka talaka kwa kunyimwa ‘mlo wa usiku’ na mumewe
Na BRIAN OCHARO MWANAMKE mmoja amewasilisha kesi mahakamani kutaka apewe talaka ili kumaliza ndoa yake ya miaka 22 kwa madai kuwa mumewe...
- by adminleo
- April 30th, 2018
SHANGAZI: Hasemi nami tena tangu nikatae kumburudisha kitandani
Naomba ushauri wako Shangazi. Nilipiga nambari fulani ya simu kimakosa na ikapokewa na kijana. Nilipomwelezea kuwa niliipiga kimakosa...
- by adminleo
- April 18th, 2018
FUNGUKA: Nachuuza mke wangu nipate hela
Na PAULINE ONGAJI Japo mwanzoni nilionekana kukerwa na tabia hii, mke wangu alinishawishi akisema kwamba ingekuwa fursa murwa ya...
- by adminleo
- April 10th, 2018
SHANGAZI: Iweje wananishuku ilhali ‘mali’ nimetia kufuli?
Shikamoo shangazi. Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 19. Kuna wanaume wengi ambao wamekuwa wakinitaka lakini nimewakataa kwa sababu...
- by adminleo
- April 9th, 2018
SHANGAZI: Kila niendapo kwa duka lake, hulalama kuhusu mumewe
Mimi ni kijana na nilioa miaka mitatu iliyopita. Nina mtoto mmoja. Tatizo ni kwamba, kuna mwanamke mwenye biashara ya nguo. Niendapo...
- by adminleo
- April 4th, 2018
MWANAMUME KAMILI: Heri upweke kuliko hadaa kama ilivyo katika ndoa za kidijitali
"Jamani mbona kuchukizana na kuhujumiana kama kwamba mmekwisha talikiana? Hivi ndivyo visa vinavyochukiza katika maisha ya wachumba na...
- by adminleo
- April 4th, 2018
PAMBO: Tuliza akili unoe makali chumbani
Akili inapotulia, mwili huwa unatulia pia na hivyo kuwa katika hali nzuri ya kufurahia maisha ya tendo la ndoa. Kwa watu wengi, tendo hili...
- by adminleo
- April 4th, 2018
FUNGUKA: Ole wenu mnaoingia mtegoni…
Narekodi kila tukio, nahifadhi kila arafa kwa minajili ya kuwapaka tope endapo watajifanya wajanja kiasi cha kuasi ahadi walizotoa...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
KRU kuchunguza madai ya dhuluma za kimapenzi dhidi ya msanii
Na CHARLES WASONGA KWA mara ya kwanza Chama cha Raga Nchini (KRU) kimezungumzia madai ya ubakaji yanayowakabili wachezaji wawili wa...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Mamilioni watoroka makazi yao wakihofia kudhulumiwa kimapenzi
Na AFP VISA vya dhuluma za kimapenzi vimeongezeka eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Hali hiyo imesababisha mgogoro...