Tag: mau
- by adminleo
- August 3rd, 2020
2022: Wanasiasa wachochea mauaji
FRANCIS MUREITHI NA JOSEPH OPENDA MAANDALIZI ya kuwania vyeo vya kisiasa kwenye uchaguzi mkuu wa 2022, yameibuka kuwa kiini kikuu cha...
- by adminleo
- January 6th, 2020
Msitu wa Mau kuzungushiwa ua kuanzia Aprili – Natembeya
Na SAMUEL BAYA MPANGO wa kuweka ua kuuzunguka msitu wa Mau eneo la Narok utaanza Aprili, mratibu wa shughuli za serikali Bonde la Ufa,...
- by adminleo
- January 4th, 2020
Kenya kusutwa na AU kuhusu maskwota wa Mau
RICHARD MUNGUTI na JUSTUS WANGA UHUSIANO wa Kenya na Umoja wa Mataifa ya Afrika (AU) umetiwa doa baada ya Serikali kukaidi agizo la...
- by adminleo
- November 22nd, 2019
Tume kuhusu haki yaitaka serikali kutumia mbinu za kiutu Mau
Na MAGDALENE WANJA SERIKALI ya Kenya imeshtakiwa katika Tume ya Afrika kuhusu Haki za Kibinadamu na za Watu kwa kufurusha waliokuwa...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Walowezi kufurushwa katika misitu 18 – Tobiko
Na GEORGE MUNENE SERIKALI inapanga kuwafurusha watu wote wanaoishi kinyume cha sheria katika maeneo 18 yaliyotengwa na serikali kama...
- by adminleo
- November 3rd, 2019
Polisi wazima mkutano Bomet kujadili Mau
Na VITALIS KIMUTAI USALAMA uliimarishwa Jumamosi mjini Bomet baada ya polisi kupiga marufuku mkutano uliopangwa na wanasiasa mbalimbali...
- by adminleo
- October 1st, 2019
Waliofurushwa Mau wapewe ardhi – Wabunge
NA VITALIS KIMUTAI VIONGOZI kutoka Kaunti ya Bomet wametoa wito kwa serikali kutwaa ekari nyingi za ardhi ambazo zilitolewa kwa familia...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Wanyakuzi wa Mau kushtakiwa, Kamishna asema
KEN OPALA na JULIUS SIGEI SERIKALI sasa iko tayari kushtaki watu wenye ushawishi mkubwa nchini ambao walihusika katika unyakuzi wa...
- by adminleo
- September 12th, 2019
MAU: Wabunge wataka Tobiko awaandame ‘samaki wakubwa’
Na CHARLES WASONGA WABUNGE watatu kutoka Rift Valley sasa wako tayari kuunga mkono mpango wa serikali wa kuwaondoa watu walionyakua...
- by adminleo
- September 8th, 2019
Tunatambua umuhimu wa Mau, watu wafurushwe – Chepkut
Na Titus Ominde MBUNGE wa Ainabkoi Bw William Chepkut ameunga mkono kufurushwa kwa watu kutoka Msitu wa Mau lakini akaomba shughuli hiyo...
- by adminleo
- September 5th, 2019
Rais alipitisha walowezi wahamishwe Mau – Oguna
Na WAANDISHI WETU SERIKALI imewazima wanasiasa wanaotetea wakazi walioagizwa kuhama msitu wa Mau, Kaunti ya Narok, ikisema hatua hiyo...
- by adminleo
- September 4th, 2019
Mau: Murkomen awakaripia Tobiko na Natembeya
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wengi katika Seneti Kipchumba Murkomen amemsuta Waziri wa Mazingira Keriako Tobiko kwa kuendeleza kuamuru...