Tag: mauaji
- by adminleo
- April 20th, 2020
Utata zaidi ripoti ikiashiria Walibora aliuawa
Na CHRIS ADUNGO POLISI sasa wameshinikizwa kutoa video za kamera za CCTV zitakazosaidia kutegua kitendawili cha kifo cha Prof Ken...
- by adminleo
- April 1st, 2020
Kafyu ya mauti
Na WAANDISHI WETU IDARA ya Polisi iliendelea kushutumiwa jana, baada ya mvulana wa miaka 13 kuongeza orodha ya watu waliodaiwa kuuawa na...
- by adminleo
- March 30th, 2020
Mwenye gari lililomuua mhariri wa NTV ajitetea
NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa gari lililomgonga na kumuua mhariri wa video katika kituo cha televisheni cha NTV Raphael Mutuku Nzioki...
- by adminleo
- March 12th, 2020
Wakuu serikalini walaumiwa kwa mauaji nchini
Na VALENTINE OBARA KIMYA cha viongozi wakuu serikalini kuhusu mauaji ya kiholela na mateso ya raia mikononi mwa maafisa wa usalama...
- by adminleo
- February 21st, 2020
Polisi anayelinda ofisi ya Ruto apatikana amefariki
Na MWANDISHI WETU AFISA wa polisi anayelinda afisi ya Naibu Rais William Ruto ya Harambee Annex jijini Nairobi, Alhamisi alipatikana...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Agizo vijana wanaoua wakongwe wanaswe
Na HAMISI NGOWA MRATIBU Mkuu wa serikali ya kitaifa katika ukanda wa Pwani, Bw John Elung’ata amewaagiza makamanda wa polisi katika...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Mwili wa msichana wapatikana bila macho na ulimi
NA MERCY KOSKEY [email protected] WAKAZI wa mtaa wa Kaptebwa, Kaunti ya Nakuru waliamkia kisa cha kushangaza hapo baada ya mwili...
- by adminleo
- February 5th, 2020
Serikali yatakiwa kuzima mauaji ya kiholela Pwani
MISHI GONGO na WINNIE ATIENO BARAZA la maimamu na wahubiri nchini (CIPK) limemtaka waziri wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiangi, kuunda...
- by adminleo
- January 20th, 2020
Machifu, wahubiri walaumiwa kwa mauaji ya wazee
Na MAUREEN ONGALA MACHIFU na wahubiri wamelaumiwa kwa mauaji ya wazee wanaodaiwa kuwa wachawi katika Kaunti ya Kilifi. Mwenyekiti wa...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Mwanamke motoni kwa kumuua mumewe mlevi
Na GEORGE MUNENE POLISI katika Kaunti ya Kirinyaga wanamzuilia mwanamke ambaye alidaiwa kumuua mumewe mlevi, kisha akaning’iniza mwili...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Pasta muuaji aliwahi kufungwa Shimo la Tewa
DERICK LUVEGA na GASTONE VALUSI PASTA aliyemuua mkewe kanisani kisha akajitoa uhai alikuwa ametumikia kifungo gerezani kwa kumtishia...
- by adminleo
- December 23rd, 2019
2019 ulikuwa mwaka wa mauaji ya kifamilia
Na MARY WANGARI MWAKA huu ulikumbwa na visa tele vya mauaji ya kifamilia hasa yaliyosababishwa na tofauti za kindoa. Visa hivi...