Tag: maziwa
- by adminleo
- September 6th, 2019
Ukosefu wa fedha za kutosha watatiza utafiti kuhusu kuharibika kwa mandhari ya maziwa
Na MAGDALENE WANJA UTAFITI unaoendelea kuhusu kudorora kwa hali na mandhari ya baadhi ya maziwa hapa nchini unaonyesha kuwa fedha...
- by adminleo
- August 22nd, 2019
UFUGAJI KIBIASHARA: Amepiga hatua kuu maishani kwa ufugaji wa ng’ombe wa maziwa
Na SAMUEL BAYA KIJIJI cha Solai katika Kaunti ya Nakuru kiligusa vichwa vya habari mwaka 2018 wakati maji yalipasua kuta za bwawa la...
- by adminleo
- August 15th, 2019
AKILIMALI: Kwake mbuzi wa maziwa wana faida tele
Na PHYLLIS MUSASIA MUDA wake mwingi mfugaji Clement Ocharo wa kutoka Borabu, Kaunti ya Nyamira huutumia malishoni na mbuzi wake ambao...
- by adminleo
- August 9th, 2019
Sababu ya Zuleikha Hassan kuingia bungeni na mtoto
Na MARY WANGARI MWAKILISHI wa Wanawake wa Kaunti ya Kwale katika Bunge la Kitaifa, Bi Zuleikha Hassan amefichua kwamba alikiuka...
- by adminleo
- July 31st, 2019
UFUGAJI: Tunza ng’ombe wa maziwa jinsi unavyoweza kutunza mtoto mchanga
Na MWANGI MUIRURI LISHE bora, kutobahatisha na magonjwa na usafi wa kimazingira ndio viungo muhimu katika kumtunza ng’ombe wa gredi...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
UFUGAJI: Mbuzi wa maziwa
Na SAMMY WAWERU WATAALAMU wa masuala ya afya wanasema unywaji wa maziwa ya mbuzi ni jambo wanalotilia maanani kwa wagonjwa kwa sababu ya...
- by adminleo
- July 14th, 2019
AKILIMALI: Wafugaji waungana kuanzisha kiwanda chao cha maziwa
NA RICHARD MAOSI KUNA utajiri mkubwa humu nchini katika sekta ya uzalishaji na usambazaji wa maziwa, na wakati mwingine wananchi...
- by adminleo
- June 27th, 2019
AKILIMALI: Siri ya kufaulu katika ufugaji ng’ombe wa maziwa
NA RICHARD MAOSI NG'OMBE aina ya Jersey ni aina mojawapo ya mifugo maarufu duniani kuwahi kufugwa na wakulima ikiaminika kuwa asili yake...
- by adminleo
- June 27th, 2019
UONGEZEAJI THAMANI: Kiwanda kipya cha maziwa ya ngamia chatoa fursa ya kipato
Na RICHARD MUNGUTI MAZIWA ya ngamia ambayo ni adimu katika maduka mengi yataanza kuuzwa kwa viwango vikubwa kufuatia kuzinduliwa kwa...
- by adminleo
- April 2nd, 2019
AFYA: Faida za kunywa maziwa
Na MARGARET MAINA [email protected] MAZIWA hutupatia angalau vitamini zote kama vitamini A, D, E na K. Pia yana madini...
- by adminleo
- March 27th, 2019
Wabunge wazima uagizaji maziwa kutoka ng’ambo
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wameitaka Wizara ya Biashara kusitisha uagizaji wa maziwa kutoka nje, wakisema huawaathiri wafugaji wa...
- by adminleo
- March 26th, 2019
Bodi ya maziwa yatangaza kusitisha ‘sheria dhalilishi’
Na CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU BODI ya Kusimamia Sekta ya Maziwa Nchini (KDB) imeitikia wito wa wadau katika sekta hiyo na kusimamisha...