• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:55 PM

Ukosefu wa fedha za kutosha watatiza utafiti kuhusu kuharibika kwa mandhari ya maziwa

Na MAGDALENE WANJA UTAFITI unaoendelea kuhusu kudorora kwa hali na mandhari ya baadhi ya maziwa hapa nchini unaonyesha kuwa fedha...

UFUGAJI KIBIASHARA: Amepiga hatua kuu maishani kwa ufugaji wa ng’ombe wa maziwa

Na SAMUEL BAYA KIJIJI cha Solai katika Kaunti ya Nakuru kiligusa vichwa vya habari mwaka 2018 wakati maji yalipasua kuta za bwawa la...

AKILIMALI: Kwake mbuzi wa maziwa wana faida tele

Na PHYLLIS MUSASIA MUDA wake mwingi mfugaji Clement Ocharo wa kutoka Borabu, Kaunti ya Nyamira huutumia malishoni na mbuzi wake ambao...

Sababu ya Zuleikha Hassan kuingia bungeni na mtoto

Na MARY WANGARI MWAKILISHI wa Wanawake wa Kaunti ya Kwale katika Bunge la Kitaifa, Bi Zuleikha Hassan amefichua kwamba alikiuka...

UFUGAJI: Tunza ng’ombe wa maziwa jinsi unavyoweza kutunza mtoto mchanga

Na MWANGI MUIRURI LISHE bora, kutobahatisha na magonjwa na usafi wa kimazingira ndio viungo muhimu katika kumtunza ng’ombe wa gredi...

UFUGAJI: Mbuzi wa maziwa

Na SAMMY WAWERU WATAALAMU wa masuala ya afya wanasema unywaji wa maziwa ya mbuzi ni jambo wanalotilia maanani kwa wagonjwa kwa sababu ya...

AKILIMALI: Wafugaji waungana kuanzisha kiwanda chao cha maziwa

NA RICHARD MAOSI KUNA utajiri mkubwa humu nchini katika sekta ya uzalishaji na usambazaji wa maziwa, na wakati mwingine wananchi...

AKILIMALI: Siri ya kufaulu katika ufugaji ng’ombe wa maziwa

NA RICHARD MAOSI NG'OMBE aina ya Jersey ni aina mojawapo ya mifugo maarufu duniani kuwahi kufugwa na wakulima ikiaminika kuwa asili yake...

UONGEZEAJI THAMANI: Kiwanda kipya cha maziwa ya ngamia chatoa fursa ya kipato

Na RICHARD MUNGUTI MAZIWA ya ngamia ambayo ni adimu katika maduka mengi yataanza kuuzwa kwa viwango vikubwa kufuatia kuzinduliwa kwa...

AFYA: Faida za kunywa maziwa

Na MARGARET MAINA [email protected] MAZIWA hutupatia angalau vitamini zote kama vitamini A, D, E na K. Pia yana madini...

Wabunge wazima uagizaji maziwa kutoka ng’ambo

Na CHARLES WASONGA WABUNGE wameitaka Wizara ya Biashara kusitisha uagizaji wa maziwa kutoka nje, wakisema huawaathiri wafugaji wa...

Bodi ya maziwa yatangaza kusitisha ‘sheria dhalilishi’

Na CHARLES WASONGA na SAMMY WAWERU BODI ya Kusimamia Sekta ya Maziwa Nchini (KDB) imeitikia wito wa wadau katika sekta hiyo na kusimamisha...