Tag: MITO
- by adminleo
- September 1st, 2019
MBURU: Raia wahamasishwe kuhusu athari za uchafuzi wa mito
Na PETER MBURU SERIKALI imeendelea wiki hii na kampeni ya kuadhibu kampuni zinazolaumiwa kwa uchafuzi wa chemichemi za maji katika...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Maji taka milangoni kero kwa wakazi wa Nakuru
NA GEOFFREY ONDIEKI Wakazi wa mitaa ya Flamingo na Kimathi mjini Nakuru wameelezea gadhabu zao kuhusiana na maji taka yanayomiminika...
- by adminleo
- August 15th, 2019
TAHARIRI: Serikali ishughulikie ripoti ya uchafuzi
NA MHARIRI RIPOTI ya uchunguzi uliofanywa na Taifa Leo kuhusu uharibifu wa mazingira yafaa kuchunguzwa kwa makini na wadau, ili suluhu...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Sh82 bilioni za ujenzi wa Bwawa la Thwake hatarini kupotea
Na PAUL WAFULA HUENDA Kenya ikapoteza Sh82 bilioni katika ujenzi wa Bwawa la Thwake, Kaunti ya Makueni baada ya kubainika litategemea...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Watu wengi hutumia maji ya Mto Athi bila kujua athari zilizopo
Na BERNARDINE MUTANU BW Vaati Mbiki, 35, anajitayarisha kuanza shughuli za kawaida za uvuvi katika Mto Athi. Baada ya majaribio...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Sumu mitoni yatishia maisha ya mamilioni ya Wakenya
Na PAUL WAFULA MAMILIONI ya Wakenya wanatumia maji na vyakula vyenye sumu kwao, wanyama na mazingira. Katika muda wa miezi miwili...
- by adminleo
- August 14th, 2019
Uchafuzi wa mito huanza kwenye chemchemi
NA WAANDISHI WETU KULINGANA na uchunguzi wa Taifa Leo, ambapo waandishi wetu walifuata Mto Nairobi kutoka chemichemi yake katika Kaunti...
- by adminleo
- May 16th, 2019
Sababu ya NEMA kufunga viwanda 12
Na BERNARDINE MUTANU Serikali inajitahidi kuhifadhi Mto Nairobi ambao kwa kiwango kikubwa umechafuka, na ambao ni moja ya matawi ya Mto...
- by adminleo
- March 19th, 2019
NJAA: Mito na maziwa yakauka Baringo na Nakuru miti ikinyauka
RICHARD MAOSI NA KEVIN KEMBOI MAELFU ya watu wanahofia maisha yao baada ya chemchemi za maji na mito kukauka katika Kaunti ya Nakuru na...