Tag: mlima kenya
Kinaya Mlima Kenya kupasuka Rais Kenyatta akistaafu
Na WANDERI KAMAU ANAPOJITAYARISHA kung’atuka uongozini mwaka 2022, Rais Uhuru Kenyatta anaandamwa na kinaya cha kuzua mgawanyiko...
- by adminleo
- August 8th, 2020
Uhuru, Ruto na Mudavadi wamenyania kura za Mlima Kenya
Na MWANGI MUIRURI Vita vya kimaneno vimechipuka kati ya wafuasi wa Rais Uhuru Kenyatta, William Ruto na Musalia Mudavadi eneo la Mlima...
- by adminleo
- August 4th, 2020
Siasa za ugavi wa pesa zachangia kufifia kwa umaarufu wa Ruto Mlima Kenya
NA MWANGI MUIRURI SIASA za mfumo utakaotumika kugawa Sh316.5bilioni za Kaunti mwaka huu wa kifedha (2020/21) zinatishia umaarufu wa...
- by adminleo
- July 23rd, 2020
Wazee wa Gema wamkaidi Uhuru
Na MWANGI MUIRURI WAZEE wa jamii za Gikuyu, Embu na Meru (Gema), wamepinga mpango wa kuvunja muungano huo na nafasi yake kuchukuliwa na...
- by adminleo
- July 19th, 2020
Baraza jipya la wazee kubuniwa Mlima Kenya
Na Gakuu Mathenge BARAZA jipya la wazee wa jamii ya Wakikuyu latarajiwa kuzinduliwa wiki hii kumsaidia Rais Uhuru Kenyatta ambaye...
- by adminleo
- July 7th, 2020
Mlima Kenya tunalenga minofu 2022 – Murathe
KEN KIMANTHI na MWANGI MUIRURI NAIBU Mwenyekiti wa Chama cha Jubilee, Bw David Murathe amekiri kuwa eneo la Mlima Kenya litanuia kupata...
- by adminleo
- July 5th, 2020
JAMVI: Ndiye mrithi wa Uhuru Mlimani?
Na WANDERI KAMAU JUHUDI za kumjenga upya mwanasiasa Peter Kenneth kuwa mrithi wa Rais Uhuru Kenyatta katika ukanda wa Mlima Kenya...
- by adminleo
- July 1st, 2020
Uhuru agutuka nyumbani kukavu
KENNEDY KIMANTHI na DAVID MUCHUI RAIS Uhuru Kenyatta ameanza kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika ngome yake ya kisiasa...
- by adminleo
- June 20th, 2020
Uhuru kuelekea Mlima Kenya kufufua umaarufu ulioyeyuka
Na MWANGI MUIRURI RAIS Uhuru Kenyatta anatarajiwa kufanya ziara kochokocho katika ngome yake ya kisiasa ya Mlima Kenya katika juhudi za...
- by adminleo
- May 15th, 2020
Shoka la Uhuru latua Mlima Kenya
BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA WASHIRIKA wa kisiasa wa Naibu Rais William Ruto katika eneo la Mlima Kenya, wameingiwa na tumbojoto...
- by adminleo
- February 28th, 2020
Zogo lanukia Ruto akitarajiwa katika mkutano wa BBI Meru
Na MWANDISHI WETU ISHARA ya makabiliano katika mkutano wa Mpango wa Maridhiano (BBI) mjini Meru ilijitokeza Ijumaa baada ya uhasama...
- by adminleo
- February 27th, 2020
Mlima Kenya wasilazimishwe kumpigia Ruto kura 2022 – Wakalenjin
Na ONYANGO K’ONYANGO BARAZA la Wazee wa Jamii ya Wakalenjin (Myoot) limetaka wapiga-kura wa eneo la Mlima Kenya wasilazimishwe...