• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Kinaya Mlima Kenya kupasuka Rais Kenyatta akistaafu

Na WANDERI KAMAU ANAPOJITAYARISHA kung’atuka uongozini mwaka 2022, Rais Uhuru Kenyatta anaandamwa na kinaya cha kuzua mgawanyiko...

Uhuru, Ruto na Mudavadi wamenyania kura za Mlima Kenya

Na MWANGI MUIRURI Vita vya kimaneno vimechipuka kati ya wafuasi wa Rais Uhuru Kenyatta, William Ruto na Musalia Mudavadi eneo la Mlima...

Siasa za ugavi wa pesa zachangia kufifia kwa umaarufu wa Ruto Mlima Kenya

NA MWANGI MUIRURI SIASA za mfumo utakaotumika kugawa Sh316.5bilioni za Kaunti mwaka huu wa kifedha (2020/21) zinatishia umaarufu wa...

Wazee wa Gema wamkaidi Uhuru

Na MWANGI MUIRURI WAZEE wa jamii za Gikuyu, Embu na Meru (Gema), wamepinga mpango wa kuvunja muungano huo na nafasi yake kuchukuliwa na...

Baraza jipya la wazee kubuniwa Mlima Kenya

Na Gakuu Mathenge BARAZA jipya la wazee wa jamii ya Wakikuyu latarajiwa kuzinduliwa wiki hii kumsaidia Rais Uhuru Kenyatta ambaye...

Mlima Kenya tunalenga minofu 2022 – Murathe

KEN KIMANTHI na MWANGI MUIRURI NAIBU Mwenyekiti wa Chama cha Jubilee, Bw David Murathe amekiri kuwa eneo la Mlima Kenya litanuia kupata...

JAMVI: Ndiye mrithi wa Uhuru Mlimani?

Na WANDERI KAMAU JUHUDI za kumjenga upya mwanasiasa Peter Kenneth kuwa mrithi wa Rais Uhuru Kenyatta katika ukanda wa Mlima Kenya...

Uhuru agutuka nyumbani kukavu

KENNEDY KIMANTHI na DAVID MUCHUI RAIS Uhuru Kenyatta ameanza kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika ngome yake ya kisiasa...

Uhuru kuelekea Mlima Kenya kufufua umaarufu ulioyeyuka

Na MWANGI MUIRURI RAIS Uhuru Kenyatta anatarajiwa kufanya ziara kochokocho katika ngome yake ya kisiasa ya Mlima Kenya katika juhudi za...

Shoka la Uhuru latua Mlima Kenya

BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA WASHIRIKA wa kisiasa wa Naibu Rais William Ruto katika eneo la Mlima Kenya, wameingiwa na tumbojoto...

Zogo lanukia Ruto akitarajiwa katika mkutano wa BBI Meru

Na MWANDISHI WETU ISHARA ya makabiliano katika mkutano wa Mpango wa Maridhiano (BBI) mjini Meru ilijitokeza Ijumaa baada ya uhasama...

Mlima Kenya wasilazimishwe kumpigia Ruto kura 2022 – Wakalenjin

Na ONYANGO K’ONYANGO BARAZA la Wazee wa Jamii ya Wakalenjin (Myoot) limetaka wapiga-kura wa eneo la Mlima Kenya wasilazimishwe...