Tag: moses kuria
- by T L
- November 19th, 2022
Kejeli ya Kuria kuhusu GMOs yaibua hisia kali
NA MARY WANGARI MATAMSHI ya Waziri wa Biashara na Viwanda, Moses Kuria kuhusu uagizaji wa mahindi yanayokuzwa kisayansi, maarufu kama...
- by T L
- March 26th, 2022
Kuria aagizwa kufika mbele ya kamati ya IEBC
NA CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imemwamuru Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria kufika mbele yake ili afafanue...
- by adminleo
- December 4th, 2019
Hatutahudhuria mkutano wa BBI Mlima Kenya – Kuria
Na NDUNG’U GACHANE MBUNGE wa Gatundu Kusini, Moses Kuria amesema idadi kubwa ya wabunge wa Mlima Kenya hawatahudhuria mkutano wa...
- by adminleo
- August 8th, 2019
Kuria apinga pendekezo la Duale kuondoa mfumo wa urais
Na NDUNGU GACHANE MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria amepuuzilia mbali pendekezo la Kiongozi wa Wengi Bungeni, Bw Aden Duale, la...
- by adminleo
- July 24th, 2019
Natamani kuwa kama Raila, ana roho safi sana – Moses Kuria
Na PETERÂ MBURU Raila ni mtu wa maajabu na mwenye roho safi ajabu. Haya ni maneno ya mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria, ambaye aidha...
- by adminleo
- July 21st, 2019
Kuria ajiona kama ‘zawadi’ kwa Wakenya
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini sasa anadai kuwa ndiye zawadi ya Kenya kutoka kwa Mungu, ambayo itawashikanisha Wakenya...
- by adminleo
- July 21st, 2019
Nitampinga Uhuru akiunga referenda – Kuria
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria amesema kuwa yuko tayari kumpinga Rais Uhuru Kenyatta, endapo ataunga mkono...
- by adminleo
- July 9th, 2019
Kuria akataa marupurupu, aamuru pesa hizo zipelekwe Hospitali ya Gatundu
Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria Jumanne aliagiza usimamizi wa bunge kuelekeza pesa ambazo angelipwa kama...
- by adminleo
- July 8th, 2019
Uamuzi wa kesi ya uchochezi dhidi ya Kuria waahirishwa
Na RICHARD MUNGUTI UAMUZI wa kesi ya uchochezi dhidi ya Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria uliahirishwa Jumatatu hadi Julai 29,...
- by adminleo
- June 26th, 2019
Kuria ashangaa kwa nini Matiang’i hajakamatwa kwa kusema Wachina watimuliwe
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria Jumatano amekashifu hatua ya polisi kumkamata mbunge wa Starehe Charles Njagua...
- by adminleo
- June 24th, 2019
Ngome ya Rais Kiambu imechoshwa na handisheki – Kuria
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria sasa anadai kuwa wakazi wa Kaunti ya Kiambu ambako ni ngome ya Rais Uhuru Kenyatta...
- by adminleo
- June 23rd, 2019
Kuria ataka bunge libuni wadhifa wa Waziri Mkuu
Na ERIC WAINAINA MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria, ameunga mkono pendekezo la kubuniwa kwa wadhifa wa Waziri Mkuu na manaibu wawili...