Tag: nakuru
- by adminleo
- May 11th, 2018
DPP amtaka Boinnet ampe ripoti ya uchunguzi wa mkasa wa Solai kwa siku 14
Na ERIC MATARA Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Ijumaa alitaka uchunguzi ufanywe kubaini kiini cha mkasa wa bwawa la Patel eneo la...
- by adminleo
- May 10th, 2018
BWAWA LA MAUTI: Watu 44 waangaamia kwenye mkasa Nakuru
MAGDALENE WANJA na ERIC MATARA Kwa Muhtasari: Wakazi walisikia mlipuko mkubwa kabla ya maji kusomba nyumba zao pamoja na makazi ...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Nakuru: Mji usiotambua Leba Dei, hapa kazi tu!
NA PETER MBURU HUKU wafanyakazi kote nchini wakipumzika kuadhimisha siku ya Leba Dei Jumanne, Wakenya wengi wanaofanya kazi za juakali na...
- by adminleo
- April 30th, 2018
KDF anayesherehekea Leba Dei akichuuza maji kwa mkokoteni asimulia alivyoiletea Kenya sifa
NA PETER MBURU HUKU Wakenya wakisubiri kusherehekea siku ya wafanyakazi ya ‘Leba dei’ miaka 55 tangu nchi kupata Uhuru Jumanne, kwa...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Wagonjwa wanafariki tukitazama, serikali iwajibike – Madaktari
Na PETER MBURU MADAKTARI katika Hospitali ya Rufaa ya Nakuru Level Five wamekiri kuwa wagonjwa wamekuwa wakifariki humo kutokana na subira...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Yaya ajuta kugeuza nyumba ya mdosi kuwa danguro
Na SAMMY WAWERU FREE AREA, NAKURU Yaya aliyekuwa akifanya kazi kwa mama mmoja mtaani hapa, anajuta baada ya kupigwa kalamu kwa...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Wanaougua Saratani South Rift kupokea matibabu
Na MAGDALENE WANJA WAGONJWA wa saratani kutoka kaunti zaidi ya tano eneo la South Rift watapokea matibabu katika hospitali ya Nakuru Level...
- by adminleo
- April 19th, 2018
Sh48 milioni zatengwa kuwalipia karo wanafunzi 15,000 Nakuru
NA MERCY KOSKEY ZAIDI ya wanafunzi 15,000 wa shule za upili na wanaotoka kwa familia sizizojiweza watanufaika na mpango wa karo...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Baraka za ‘Nabii’ Owuor kwa wafanyabiashara Nakuru
PETER MBURU Na MAGDALENE WANJA Wafanyabiashara mjini Nakuru wamekula vinono kwa kipindi cha siku nne, kufuatia uwepo wa ‘Nabii’ David...
- by adminleo
- April 2nd, 2018
Mwanafunzi aliyejitolea kumtunza mamaye mlemavu apunguziwa mzigo
NA PETER MBURU MTOTO wa miaka kumi ambaye aligonga vichwa vya habari mwishoni mwa Machi kwa kumsaidia mamake mlemavu kwa kumsukuma kwenda...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Mtoto aliyejitwika jukumu la kumlea mamaye mlemavu
NA PETER MBURU HALI ya ulemavu kwa mama mmoja kutoka mtaa wa Shabaab, Nakuru aliyetelekezwa na familia yake miaka 18 iliyopita imemsukumia...
- by adminleo
- February 14th, 2018
Taharuki yatanda kijijini mwanamume kuvamiwa na kuuawa kanisani
Na MAGDALENE WANJA HOFU ilitanda katika kijiji cha Kimangu eneo la Rongai, kaunti ya Nakuru baada ya manamume mwenye umri wa miaka 75...