• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 11:48 AM

Buhari amshinda mpinzani wake mkuu kwa zaidi ya kura 4 milioni

Na MASHIRIKA ABUJA, NIGERIA RAIS Muhammadu Buhari ameshinda urais muhula wa pili ambapo ataongoza tena taifa hili lenye idadi kubwa ya...

Ushelisheli yachezesha mpishi, madereva, waashi dhidi ya Super Eagles ya Nigeria

Na Geoffrey Anene HEBU fikiria Harambee Stars inachezesha mpishi langoni, mabeki ni madereva na waashi, viungo ni maakuli na washambuliaji...

Pasta aitisha waumini Sh200,000 aombee Nigeria kufuzu

Na AFP LAGOS, NIGERIA PASTA ameshangaza wengi kwa kuambia waumini wake wamlipe zaidi ya dola 2,000 (Sh200,000) ili kuombea wachezaji wa...

URUSI 2018: Ahadi ya pesa ilivyochochea Nigeria kuiyeyusha Iceland

Na GEOFFREY ANENE SUPER Eagles ya Nigeria ilipata msukumo wa kudhalilisha Iceland kutokana na ahadi ya Sh5,045,225 (Naira 18 milioni) kwa...

Buhari kukutana na Trump White House

Na AFP RAIS wa Nigeria Muhammadu Buhari, Jumatatu atakutana na Rais Donald Trump wa Amerika jijini Washington na kuwa kiongozi wa kwanza...

Korti yaagiza Boinnet afurushe Mnigeria kipenzi cha wanawake jijini

Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU mkuu katika mahakama ya Nairobi Bw Francis Andayi, Jumatano alimwamuru Mkuu wa Polisi (IG) Joseph Boinnet pamoja...

Nigeria yaanza kusaka wasichana 110 waliotekwa na Boko Haram

Na AFP ABUJA, Nigeria SERIKALI ya Nigeria imeanza harakati za kuwatafuta wasichana 110 wa shule moja, wanaoaminika kutekwa nyara na...