• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 8:55 AM

Polisi mafisi

Na WAANDISHI WETU VISA vya maafisa wa polisi kushambulia watoto wa kike na kuwanajisi vimeongezeka katika maeneo tofauti ya nchi siku za...

Polisi motoni kumumunya mamilioni ya bima wakidai walikatwa mikono na miguu

Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wa polisi wa utawala waliopokea Sh2.4milioni kwa kudanganya kampuni ya bima kwamba walikatwa miguu na mikono...

Wananchi wakamata na kutandika polisi walevi kisiwani

KALUME KAZUNGU na JOSEPH NDUNDA POLISI kisiwani Lamu walilazimika kutimua umati uliokuwa ukiwatandika wenzao wawili waliokamatwa na...

Polisi wasifiwa kwa juhudi za kuzima uhalifu

KALUME KAZUNGU na LUCY MKANYIKA TUME ya Huduma kwa Polisi nchini (NPSC) imepongeza juhudi zinazoendelezwa na maafisa wa vitengo...

EACC yatofautiana na polisi kuhusu ufyatulianaji risasi na hongo

NA JUSTUS OCHIENG' TUME ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi(EACC) na polisi wametofautiana vikali kuhusu kisa cha kupigwa risasi wa...

Rais Kenyatta aagiza timu za uokozi KDF na idara ya polisi zipelekwe Pokot Magharibi

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta ameagiza timu za uokozi kutoka kwa wanajeshi wa ulinzi Kenya (KDF) na idara ya polisi kupelekwa...

MAKALA MAALUM: Idara ya polisi haijapiga hatua kubwa katika kuleta mageuzi

Na STELLA CHERONO SWALI la iwapo mageuzi ambayo yamekuwa yakitekelezwa katika idara ya polisi yamefanikiwa au la bado ni kitendawili,...

#JkuatLivesMatter: Majina ya polisi katili yatolewa

NA MARY WANGARI KISA cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT) aliyepigwa kikatili na polisi kimechukua mkondo mpya huku...

#JkuatLivesMatter: Polisi waliopiga mwanachuo watemwa

MARY WANGARI Na MARY WAMBUI POLISI wanne walionaswa kwenye video wakimpiga kinyama mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT)...

Polisi wageuka wanyama ghafla wakizima maandamano JKUAT

Na Leonard Onyango MAAFISA wa polisi waliokuwa wakizima maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha JKUAT mjini Juja, Kaunti ya Kiambu...

Polisi majambazi

Na BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA WAKENYA wana kila sababu ya kuhofia uhai na usalama wao kwa jumla baada ya kuibuka kuwa magenge ya...

Kizaazaa polisi kufurika kortini kuokoa mwenzao aliyetupwa seli

Na TITUS OMINDE na SETH MOIBEN KIZAAZAA kilishuhudiwa katika mahakama ya Eldoret maafisa wakuu wa polisi wa Kaunti ya Uasin Gishu,...