Tag: polisi
- by adminleo
- December 16th, 2019
Polisi mafisi
Na WAANDISHI WETU VISA vya maafisa wa polisi kushambulia watoto wa kike na kuwanajisi vimeongezeka katika maeneo tofauti ya nchi siku za...
- by adminleo
- December 4th, 2019
Polisi motoni kumumunya mamilioni ya bima wakidai walikatwa mikono na miguu
Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA wa polisi wa utawala waliopokea Sh2.4milioni kwa kudanganya kampuni ya bima kwamba walikatwa miguu na mikono...
- by adminleo
- December 3rd, 2019
Wananchi wakamata na kutandika polisi walevi kisiwani
KALUME KAZUNGU na JOSEPH NDUNDA POLISI kisiwani Lamu walilazimika kutimua umati uliokuwa ukiwatandika wenzao wawili waliokamatwa na...
- by adminleo
- November 25th, 2019
Polisi wasifiwa kwa juhudi za kuzima uhalifu
KALUME KAZUNGU na LUCY MKANYIKA TUME ya Huduma kwa Polisi nchini (NPSC) imepongeza juhudi zinazoendelezwa na maafisa wa vitengo...
- by adminleo
- November 25th, 2019
EACC yatofautiana na polisi kuhusu ufyatulianaji risasi na hongo
NA JUSTUS OCHIENG' TUME ya Maadili ya Kupambana na Ufisadi(EACC) na polisi wametofautiana vikali kuhusu kisa cha kupigwa risasi wa...
- by adminleo
- November 23rd, 2019
Rais Kenyatta aagiza timu za uokozi KDF na idara ya polisi zipelekwe Pokot Magharibi
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta ameagiza timu za uokozi kutoka kwa wanajeshi wa ulinzi Kenya (KDF) na idara ya polisi kupelekwa...
- by adminleo
- November 16th, 2019
MAKALA MAALUM: Idara ya polisi haijapiga hatua kubwa katika kuleta mageuzi
Na STELLA CHERONO SWALI la iwapo mageuzi ambayo yamekuwa yakitekelezwa katika idara ya polisi yamefanikiwa au la bado ni kitendawili,...
- by adminleo
- November 14th, 2019
#JkuatLivesMatter: Majina ya polisi katili yatolewa
NA MARY WANGARI KISA cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT) aliyepigwa kikatili na polisi kimechukua mkondo mpya huku...
- by adminleo
- November 13th, 2019
#JkuatLivesMatter: Polisi waliopiga mwanachuo watemwa
MARY WANGARI Na MARY WAMBUI POLISI wanne walionaswa kwenye video wakimpiga kinyama mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Jomo Kenyatta (JKUAT)...
- by adminleo
- November 12th, 2019
Polisi wageuka wanyama ghafla wakizima maandamano JKUAT
Na Leonard Onyango MAAFISA wa polisi waliokuwa wakizima maandamano ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha JKUAT mjini Juja, Kaunti ya Kiambu...
- by adminleo
- November 3rd, 2019
Polisi majambazi
Na BENSON MATHEKA na CHARLES WASONGA WAKENYA wana kila sababu ya kuhofia uhai na usalama wao kwa jumla baada ya kuibuka kuwa magenge ya...
- by adminleo
- November 2nd, 2019
Kizaazaa polisi kufurika kortini kuokoa mwenzao aliyetupwa seli
Na TITUS OMINDE na SETH MOIBEN KIZAAZAA kilishuhudiwa katika mahakama ya Eldoret maafisa wakuu wa polisi wa Kaunti ya Uasin Gishu,...