• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 5:50 AM

Mzozo wa nyadhifa ODM watishia kuangusha chama

Na SHABAN MAKOKHA CHAMA cha ODM kipo katika hatari ya kupoteza umaarufu wake katika Kaunti ya Kakamega kutokana na mzozo kuhusu...

Mvutano mitandaoni baada ya Raila kutumia gari la serikali

Na CHARLES WASONGA HATUA ya kiongozi wa ODM Raila Odinga kutumia gari lenye nambari ya usajili ya serikali alipowasilisha Migori...

Raila amezea mate OKA

DERICK LUVEGA na ANTHONY KITIMO KIONGOZI wa ODM Raila Odinga ataungana tena na vinara wenzake wa NASA ili kuunda muungano mpya...

Raila ataja sera atakayofuata akiibuka mshindi mwaka 2022

Na JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga amependekeza kuwa wafanyakazi wazembe wa umma hawafai kupandishwa vyeo, kuongezwa...

JAMVI: Huenda miswada isaidie Uhuru, Raila kuandaa refarenda

Na DAVID MWERE RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanaweza kutimiza lengo lao la nchi kuandaa kura ya maamuzi hata kama...

Sihitaji kuungwa mkono na Uhuru kuingia Ikulu – Raila

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga kwa mara ya kwanza ametangaza waziwazi kuwa hahitaji uungwaji mkono kutoka kwa Rais...

Nani safi kati ya Raila na Ruto?

Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM, Raila Odinga wamelaumiana kwa ufisadi, kila mmoja akitaka kumpaka tope...

CECIL ODONGO: Matamshi ya Raila kikwazo kwa azma yake kuwa rais

Na CECIL ODONGO MATAMSHI tata ya Kinara wa ODM Raila Odinga kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa kila mara Uchaguzi Mkuu unapokaribia...

Usimpake tope Raila, wabunge wa ODM wamuonya Ruto

Na DAVID MWERE WABUNGE wandani wa kiongozi wa ODM Raila Odinga Jumatatu jioni walimkaripia Naibu Rais William Ruto, wakimtaka kukoma...

Raila akosoa ushuru wa juu unaotozwa wawekezaji

Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, amekosoa kiwango cha juu cha ushuru kinachotozwa na serikali akisema kinawaumiza...

UHURU AFYEKEA RAILA NJIA

Na BENSON MATHEKA HUKU uchaguzi mkuu wa 2022 ukiendelea kukaribia, Rais Uhuru Kenyatta anaonekana kuchukua hatua za wazi na...

Nassir na Shahbal walilia ‘tosha’ ya Raila uagavana Mombasa

VALENTINE OBARA na ANTHONY KITIMO KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, alikwepa kumwidhinisha mwanasiasa yeyote kuwania ugavana...