• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:50 AM

Mlima wateleza kwa Ruto, Raila

Na BENSON MATHEKA NDOTO za Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM, Raila Odinga kujinyakulia ufuasi mkubwa katika eneo la Mlima Kenya...

‘Ruto alishika Uhuru mateka’

Na JUSTUS OCHIENG KINARA wa ODM, Raila Odinga, amesimulia jinsi alivyomnusuru Rais Uhuru Kenyatta kutoka “mateka” aliyowekwa na...

Majemedari wa Raila sasa waanza kumnadi Magharibi

Na SHABAN MAKOKHA WANDANI wa Kinara wa ODM Raila Odinga wameanza kampeni kali ya kumuuza Magharibi mwa nchi na wikendi iliyopita walitua...

Mbinu za Raila kuzima Mudavadi na Ruto Magharibi

Na BENSON MATHEKA Kiongozi wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, ameweka mikakati ya kulinda ngome yake ya kaunti...

Sihitaji OKA 2022 – Raila

Na WANDERI KAMAU KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga, Ijumaa alisema atawania urais mwaka 2022 Wakenya wakimwidhinisha, hata ikiwa viongozi wa...

Raila: Sehemu muhimu za chanjo ni sokoni, shuleni

Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa ODM Bw Raila Odinga ameihimiza serikali kulenga maeneo yenye idadi ya juu ya watu katika operesheni yake ya...

Raila azuru TZ akiwa njiani kurejea Kenya kutoka Zambia

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga, Jumatano alifanya ziara ya siku moja nchini Tanzania, akiwa njiani kurejea nchini...

Raila asaka njia mpya ya Canaan

WINNIE ATIENO na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, anatarajiwa kukutana na wabunge wote wa chama chake wiki...

Nitawapa mashine za kisasa kuchapa kazi nikiingia Ikulu 2022, Raila aahidi vijana

Na SAMMY WAWERU DALILI kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga kuwa debeni 2022 kuwania urais zinaendelea kudhihirika. Awali, Bw Raila...

Raila asema amepata mbinu kuteka Mlima

GEORGE ODIWOUR na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, ameambia wafuasi wake wa Nyanza kwamba, hatimaye amegundua...

Vifaranga wapya wa Raila

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, amewanasa washirika wapya baada ya vinara wa vyama vikuu vya kisiasa kuapa...

Raila amsuta Ruto kulialia ndani ya serikali

Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amemsuta Naibu Rais William Ruto kwa kulalamika jinsi rafiki yake, Bw...