Tag: raila
- by adminleo
- August 24th, 2018
Raila afufua mjadala wa kura ya maamuzi
Na AGGREY OMBOKI KIONGOZI wa ODM Raila Odinga, amefufua mdahalo kuhusu kura ya maamuzi kwa kuwaomba Wakenya kujadili Katiba na kuamua...
- by adminleo
- August 22nd, 2018
Raila atakuwa debeni 2022 – Orengo
Na SHABAN MAKOKHA KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, anajiandaa kuwania tena urais mwaka 2022, washirika wake wa kisiasa...
- by adminleo
- August 20th, 2018
Tulieni, mazuri yako njiani – Raila
Na PATRICK LANG’AT KIONGOZI wa Upinzani, Raila Odinga Jumapili aliwaomba wafuasi wake kuwa na subira kuhusu manufaa ya muafaka wa...
- by adminleo
- August 20th, 2018
Niko tayari kuelewana na Ruto – Raila
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa upinzani NASA Raila Odinga Ijumaa alisema kuwa yuko tayari kuweka muafaka wa maelewano kisiasa kati yake...
- by adminleo
- August 17th, 2018
UFISADI: Raila ajitosa vitani
Na STEPHEN MUTHINI KINARA wa Upinzani Raila Odinga amejitosa kwa mara ya kwanza kwenye mjadala kuhusu ufisadi Bungeni, na kutaka...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Mshauri wa Raila, Silas Jakakimba asakwa Zimbabwe kwa ‘kuchochea ghasia’
VALENTINE OBARA na BARACK ODUOR POLISI wa Zimbabwe wanamtafuta msaidizi wa Kiongozi wa Chama cha ODM Raila Odinga, kwa madai kuwa...
- by adminleo
- August 6th, 2018
TUZO YA AMANI YA NOBEL: Vizingiti vinavyofifisha nafasi ya Raila kuitwaa
NA FAUSTINE NGILA MAELFU ya Wakenya kwenye mitandao ya kijamii mwezi uliopita walishindia kumpigia debe kinara wa upinzani Bw Raila Odinga...
- by adminleo
- August 2nd, 2018
RAILA: Kwa nini simpendi Ruto
Na LEONARD ONYANGO KINARA wa ODM Raila Odinga hatimaye amefichua kiini cha uhasama baina ya chama chake na Naibu wa Rais William...
- by adminleo
- July 24th, 2018
TUZO YA NOBEL: Sheria ambazo Raila anafaa kufuata kushinda tuzo
Na GEOFFREY ANENE WAKENYA wamechangamkia hoja iliyowasilishwa na raia wa Uingereza Ali Abdi akitaka kiongozi wa upinzani Raila Amolo...
- by adminleo
- July 23rd, 2018
Kuria ajuta kumsimanga Raila
Na BENSON MATHEKA MBUNGE wa Gatundu Kusini, Moses Kuria, amefichua kuwa licha ya tabia yake ya kumkashifu kiongozi wa upinzani Raila...
- by adminleo
- July 18th, 2018
KALONZO NJIA PANDA: Nijiunge na Ruto au Raila?
Na WYCLIFFE MUIA KINARA wa Wiper, Kalonzo Musyoka anakabiliwa na shinikizo za kuamua iwapo atii viongozi wenzake Ukambani wanaomsukuma...
- by adminleo
- July 17th, 2018
Raila akosa saizi yake
VALENTINE OBARA na MOHAMED AHMED PENGO lililoachwa na Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga wakati alipoamua kushirikiana na serikali ya...