Tag: seneti
- by adminleo
- May 11th, 2020
Mapinduzi seneti
Na CHARLES WASONGA HATIMAYE Rais Uhuru Kenyatta amefanikisha mapinduzi ya uongozi wa mrengo wa Jubilee katika Seneti kwa kuteua Seneta...
- by adminleo
- March 31st, 2020
Maseneta wenye zaidi ya miaka 58 kufanyia kazi nyumbani
NA DAVID MWERE Spika wa Seneti Ken Lusaka ametangaza hatua zitakazoruhusu maseneta 28 pekeeĀ kuendelea kuhudhuria vikao vya...
- by adminleo
- March 31st, 2020
Seneti yatoa Sh200m kupiga vita corona
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Seneti limetoa Sh200 milioni kutoka kwa bajeti yake ya mwaka wa kifedha wa 2019/2020 kupiga jeki mpango wa...
- by adminleo
- March 31st, 2020
Seneti kujadili hali ya maambukizi ya corona
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Seneti Jumanne, Machi 31, 2020, litafanya kikao cha kwanza, majuma mawili baada ya kuahirisha shughuli zake...
- by adminleo
- March 30th, 2020
Hakuna chai wala chakula kwa maseneta kikaoni
NA DAVID MWERE HUKU maseneta wote 67 wakikongamana Jumanne baada ya Seneti kusitisha vikao vyake hapo Machi 17 kutokana na janga la...
- by adminleo
- September 6th, 2019
Hekima ya seneti yafungulia magavana mifereji ya fedha
Na CHARLES WASONGA MAGAVANA nchini sasa wanaweza kupumua baada ya maseneta kulegeza msimamo wao na kukubali mgao wa Sh316.5 bilioni kwa...
- by adminleo
- September 4th, 2019
Lusaka awataka viongozi waeleze faida ya miswada
DENNIS LUBANGA na GERALD BWISA SPIKA wa Bunge la Seneti, Bw Ken Lusaka amewaomba viongozi wa kisiasa nchini kuwahamasisha Wakenya kuhusu...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
TAHARIRI: Mzozo wa seneti na bunge unaumiza raia
NA MHARIRI Magavana wamesema kwa yakini kwamba shughuli katika kaunti zote 47 zitavurugika kuanzia Septemba 16 iwapo mabunge ya Seneti...
- by adminleo
- July 17th, 2019
Seneti kuita mabunge ya kaunti kueleza yanavyotumia pesa
Na PETER MBURU SENETI inapanga kuanza kuwaweka madiwani katika kibarua kueleza jinsi wanatumia pesa wanazopewa na serikali za kaunti,...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
Wabunge wajadili kuvunja Seneti
Na PETER MBURU VITA vya ubabe baina ya Bunge la Taifa na Seneti kuhusu lipi lina mamlaka zaidi, viliendelea bungeni Jumatano huku baadhi...
- by adminleo
- February 19th, 2019
Wabunge wapendekeza Seneti iondolewe kwa katiba
NA FRANCIS MUREITHI WABUNGE wawili kutoka Kaunti ya Nakuru wameapa kuwaongoza wananchi waliowachagua kufutilia mbali uwepo Bunge la...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Lusaka akemea viongozi wanaotaka seneti iondolewe
Na BONIFACE MWANIKI SPIKA wa Seneti Kenneth Lusaka amewataka Wakenya wasitilie maanani pendekezo la baadhi ya viongozi wa kisiasa...