Tag: sensa
- by adminleo
- August 31st, 2019
Karani wa sensa aliyechafua makazi ya mtu atozwa faini
Na WAANDISHI WETU KARANI wa sensa aliyekamatwa baada ya kwenda kuwahesabu watu katika nyumba moja akiwa mlevi katika Kaunti ya...
- by adminleo
- August 30th, 2019
Itikadi ya kutohesabu watoto yatatiza sensa Narok
Na GEORGE SAYAGIE ITIKADI ya jamii ya Wamaasai inayopiga marufuku kuhesabiwa kwa watoto na mifugo unaonekana kuwa kikwazo cha shughuli...
- by adminleo
- August 29th, 2019
Muda maalum wa sensa wakaribia kutamatika baadhi wakihofia kukosa kuhesabiwa
Na SAMMY WAWERU ZIMESALIA siku mbili pekee kukamilika kwa muda uliotengwa maalumu kwa shughuli ya kitaifa ya kuhesabu watu, sensa...
- by adminleo
- August 28th, 2019
Atupwa ndani kwa kukataa kuhesabiwa, 3 wakamatwa
NA WAANDISHI WETU MWANAMUME amefungwa miezi sita gerezani kwa kuzuia afisa wa sensa kumhesabu. Abraham Cheruiyot kutoka Kesses, Kaunti...
- by adminleo
- August 27th, 2019
Afisa wa sensa anaswa kwa kuiba pombe ya watalii
Na WAANDISHI WETU SHUGHULI ya kuhesabu watu iliendelea kukumbwa na visanga Jumatatu huku mmoja wa maafisa wa sensa akinaswa kwa kuwaibia...
- by adminleo
- August 26th, 2019
Sensa ya visanga
NA WAANDISHI WETU SHUGHULI ya kuhesabu watu inaingia siku ya tatu Jumatatu kukiwa na ripoti za visa tofauti katika maeneo mengi ya nchi....
- by adminleo
- August 25th, 2019
TAHARIRI: Maswali mengine hayafai katika sensa
NA MHARIRI SHUGHULI inayoendelea ya kuwahesabu watu inahitaji kufanyiwa marekebisho ikiwa serikali inatarajia kupata takwimu sahihi na...
- by adminleo
- August 25th, 2019
Mbunge ahimiza wakazi kujitokeza wahesabiwe
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Juja na vitongoji vyake walifuata mwito wa serikali kwa kufunga baa zote ili kwenda kuhesabiwa. Mbunge...
- by adminleo
- August 24th, 2019
Sensa yaanza kote nchini maafisa wakiambiwa kulinda vifaa
Na WAANDISHI WETU SHUGHULI ya kuhesabu watu imeanza Jumamosi saa kumi na mbili jioni ilivyopangwa huku maafisa wanaoitekeleza wakionywa...
- by adminleo
- August 24th, 2019
Sensa yaja na mzaha wa kila aina katika majukwaa mbalimbali ya mitandao ya kijamii
Na CHARLES WASONGA PICHA ya mwanamume mmoja aliyebeba chupa kadhaa za bia tayari kuzipakia kwenye gari, ambayo imekuwa ikisambaa...
- by adminleo
- August 24th, 2019
Rasharasha na kijibaridi kikali katika maeneo mengi kipindi cha sensa
Na CAROLYNE AGOSA RASHARASHA za mvua na baridi kali ni hali ya hewa inayotarajiwa katika kaunti zaidi ya 30 wakati shughuli ya kuhesabu...
- by adminleo
- August 24th, 2019
Hofu ya usalama sensa ikianza
Na WAANDISHI WETU NCHI nzima inapojitayarisha kwa shughuli ya kuwahesabu watu kuanzia leo Jumamosi jioni, hofu imeibuka kuhusu mikakati...