Tag: sensa
- by adminleo
- November 6th, 2019
Takwimu za sensa ni feki sana – Magavana
Na WAANDISHI WETU MATOKEO ya Sensa yaliyotolewa Jumatatu yameibua joto huku baadhi ya wanasiasa na wataalamu wakitilia shaka uhalisi...
- by adminleo
- November 6th, 2019
PWANI: Wanawake waombwa kukubalia waume kuoa wake wengi
Na MOHAMED AHMED WANAWAKE wa Pwani wamehimizwa kuwakubalia waume zao kuoa wake zaidi ya mmoja ili kuwezesha kuongezeka kwa idadi ya watu...
- by adminleo
- November 6th, 2019
Wakazi wa Kiambu wafurahia Sensa ya 2019
Na LAWRENCE ONGARO HUKU watu wengi wakilalamika kuhusu hesabu kamili ya sensa, iliyotangazwa na serikali, wakazi wengi wa Kaunti ya...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SENSA: Kila Mkenya anadaiwa Sh124,000
Na LEONARD ONYANGO MATOKEO ya Sensa yaliyotangazwa Jumatatu yamethibitisha kuwa kila Mkenya anadaiwa kiasi cha Sh124,000 ili kulipa...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SENSA: Mbona serikali inatudharau?, Tharaka-Nithi yawaka
NA CECIL ODONGO VIONGOZI kutoka kaunti ya Tharaka-Nithi wameapa kwenda mahakamani baada ya miezi sita ili kupinga matokeo ya idadi ya...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SENSA: Kaunti 14 zaongoza kwa idadi kubwa ya wanaume
NA MWANDISHI WETU JUMLA ya Kaunti 14 zina idadi kubwa ya wanaume kuliko wanawake, kulingana na matokeo ya sensa yaliyotolewa jana na...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SENSA: Idadi kubwa ya Wakenya huishi Rift Valley na Mlima Kenya
Na JUMA NAMLOLA ENEO la Rift Valley limo kifua mbele kupata mgao mkubwa wa maendeleo na usemi wa kisiasa baada ya kuandikisha idadi...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SENSA: Familia kubwa Mandera, Wajir, Marsabit na Garissa
Na VALENTINE OBARA KAUNTI zilizo Kaskazini Mashariki ya nchi zinaongoza kwa idadi ya watu wanaoishi katika nyumba moja. Ripoti ya...
- by adminleo
- November 5th, 2019
SENSA: Pwani walegea chumbani
Na MOHAMED AHMED ENEO la Pwani limo kwenye hatari ya kuendelea kubaki nyuma kimaendeleo na kisiasa kutokana na wakazi wake kukosa kutia...
- by adminleo
- November 5th, 2019
Viongozi wa Tharaka Nithi walalama kuhusu matokeo ya sensa
Na CECIL ODONGO na LAWRENCE ONGARO VIONGOZI wa Kaunti ya Tharaka Nithi sasa wanadai kwamba siasa zinazohusiana na Jopo la Maridhiano...
- by adminleo
- October 18th, 2019
Maafisa walioshiriki sensa walalamikia kukosa malipo
Na MARY WANGARI KUNDI la maafisa wapatao 50 walioshiriki shughuli ya kuhesabu watu Agosti liliandamana Alhamisi kulalamikia dhidi ya...
- by adminleo
- September 11th, 2019
SENSA: Hofu ya wanasiasa Mlima Kenya
Na MWANGI MUIRURI HAIJULIKANI hasa ni kwa msingi gani ambapo wanasiasa wengi wa Mlima Kenya hukesha wakilalamika kuwa “idadi zetu -...