Tag: shangazi akujibu
- by adminleo
- October 2nd, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Rafiki ananiambia nimuache mpenzi ila sijui sababu
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 na nina mpenzi ninayempenda sana. Hata hivyo, kuna rafiki yangu...
- by adminleo
- October 1st, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nimeacha mume wangu, mwalimu sasa anifuata
Na SHANGAZI NILIKUWA nimemuacha mume wangu alipoanza kunidhulumu. Nilirudi kwa wazazi wangu na wamejitolea kunigharimia masomo yangu ya...
- by adminleo
- September 28th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Anataka kunioa ila SMS za wapenzi wake zanitia hofu
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nina umri wa miaka 26. Nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamume fulani kwa mwaka mmoja sasa na ameahidi...
- by adminleo
- September 26th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Tumekuwa pamoja kwa mwaka ila naona simpendi
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Kuna mwanamke ambaye tumekuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa karibu mwaka mmoja sasa ingawa mimi simpendi....
- by adminleo
- September 25th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Simtaki huyu wa familia ila akinipigia tu nabadili wazo
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nina umri wa miaka 22 na nina mtoto mmoja ingawa sijaolewa. Nimependana na mwanamume ambaye ana familia....
- by adminleo
- September 24th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Ninahisi kijana ameniharibia miaka mitatu bure
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 21 na nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na kijana fulani kwa miaka mitatu. Nimefikiria...
- by adminleo
- September 20th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Yeye ni muuzaji dukani, nahofia ana tabia uchwara
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Mwanamume mchumba wangu amepanga kunioa hivi karibuni. Lakini kuna jambo fulani linalonitia wasiwasi....
- by adminleo
- September 19th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Shangazi, mpenzi wangu ana sponsa, nifanyeje?
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Natumai wewe ni mzima na ninahitaji ushauri wako katika ukumbi huu. Nimekuwa na mpenzi kwa miaka miwili...
- by adminleo
- September 18th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nilimnyima asali uhusiano wetu ukaingia baridi
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 28 na nilikuwa nimeolewa lakini tukaachana na mume wangu nikiwa na...
- by adminleo
- September 17th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Mwenzangu amekatiza uhusiano wetu, naumia!
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nimekuwa na mpenzi na alikuwa ameniahidi kuwa atanioa. Mwezi uliopita alihamishwa kikazi hadi mji tofauti na...
- by adminleo
- September 14th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Kipusa anayetosha mboga haamini ninachomwambia
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake kadhaa maishani. Lakini hakuna kati yao aliyetosha kuwa mke...
- by adminleo
- September 13th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Kipusa mpenzi ameanza ghafla kubugia pombe
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina mwanamke mpenzi wangu ambaye nampenda sana. Lakini kuna jambo moja ambalo limenishangaza kumhusu....