Tag: shangazi akujibu
- by adminleo
- September 12th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nakereka jamani, mke ana kizee hawaishi kupigiana simu
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nimeoa na ninampenda sana mke wangu. Ninamtosheleza kwa mahitaji yake yote nyumbani na pia chumbani. Lakini...
- by adminleo
- September 11th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nitapata wapi mwanamke mwenye penzi la dhati?
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 35 na sijapata mpenzi; bado ninatafuta. Hata hivyo, nina wasiwasi kuhusu iwapo...
- by adminleo
- September 10th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Alinihepa lakini moyo ungali kwake, nifanyeje?
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Nina umri wa miaka 28. Kuna msichana tuliyependana sana tukiwa shuleni na nilikuwa nimeamua kuwa ndiye...
- by adminleo
- September 7th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nahofia ataniacha baada ya rafiki yake kunichongea
Na SHANGAZI SALAAM shangazi! Nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamume fulani kwa miaka minne. Mpenzi wangu alinipigia simu juzi...
- by adminleo
- September 6th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Mpenzi anasema amezaa baada ya miezi 5 ya tendo
Na SHANGAZI SHANGAZI ni matumaini yangu kwamba wewe ni mzima. Nina mpenzi na tulikutana mara ya mwisho mapema mwaka jana nilipomtembelea...
- by adminleo
- September 5th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Niliacha mume wangu, nikashikana na rafikiye
Na SHANGAZI KWAKO shangazi. Nina umri wa miaka 28 na tuliachana na mume wangu miezi sita iliyopita tukiwa na mtoto mmoja. Sina mpango wa...
- by adminleo
- September 4th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nina kipusa akiguswa tu jamani anasalimu amri!
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nimegundua mwanamke mpenzi wangu ana udhaifu mkubwa na hatari. Hawezi kabisa kudhibiti hisia zake na...
- by adminleo
- August 30th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nasikia mpenzi ni mkarimu anagawa asali bila choyo!
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Ni miezi miwili sasa tangu niingie katika uhusiano na mwanamke ambaye nampenda sana. Hata hivyo, nimepata...
- by adminleo
- August 29th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Nahisi maisha hayana maana bila yeye, nifanyeje?
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina tatizo fulani na tafadhali nakuomba unishauri kuhusu jinsi ya kulitatua. Nina umri wa miaka 24 na...
- by adminleo
- August 28th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Wadai kunipenda lakini nikieleza nina mtoto wananitoroka
Na SHANGAZI SHIKAMOO shangazi! Nina umri wa miaka 25 na nina mtoto niliyezaa na mpenzi wangu wa kwanza lakini tukaachana. Kuna wanaume...
- by adminleo
- August 27th, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Simu yake imejaa jumbe za wanawake, ananisaliti?
Na SHANGAZI HUJAMBO shangazi? Nina umri wa miaka 25 na nimekuwa katika ndoa kwa mwaka mmoja sasa. Kuna jambo moja ambalo linanitia...
- by adminleo
- August 23rd, 2019
SHANGAZI AKUJIBU: Baada ya mume wa mtu kunitia mimba ametoweka
Na SHANGAZI VIPI shangazi? Kuna jambo linalonitatiza moyoni na ninaamini utanisaidia. Nina umri wa miaka 24 na nimekuwa na uhusiano wa...