Tag: shangazi
- by adminleo
- March 8th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Nahisi mapenzi yake kwangu yameingia baridi
Na SHANGAZI SIZARINA Mwanaume mpenzi wangu amenichanganya kwa tabia zake, sijui iwapo ananipenda au la. Siku za mwanzo za uhusiano wetu...
- by adminleo
- March 7th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Nilifumania mke nikamuacha, wa zamani ananitaka
Na SHANGAZI SIZARINA Hujambo shangazi? Nilikuwa nimeoa lakini nikamuacha mke wangu nilipomfumania na mwanaume mpango wake wa kando. Bado...
- by adminleo
- March 6th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Mapenzi yake ni ya mdomo tu, hakuna vitendo
Shikamoo shangazi. Kuna msichana ambaye nampenda kwa dhati lakini nina shaka iwapo yeye pia ananipenda. Sababu ni kuwa ananipenda kwa...
- by adminleo
- March 5th, 2018
SHANGAZI AKUJIBU: Mume wangu bado anafuatafuata mke wa zamani
Kwako shangazi. Nimeolewa na mwanamume ambaye alikuwa amezaa na mwanamke mwingine kabla hajanioa. Sasa nimegundua bado anamfuata mwanamke...
- by adminleo
- February 27th, 2018
SHANGAZI: Nilimfumania ndani ya gari akigawa asali. Nitafanya nini?
Na SHANGAZI SIZARINA Pokea salamu zangu shangazi. Ninaumwa sana moyoni baada ya mwanamke mpenzi wangu kusaliti penzi letu. Juzi mimi...