• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 9:49 AM

SHANGAZI AKUJIBU: Nahisi mapenzi yake kwangu yameingia baridi

Na SHANGAZI SIZARINA Mwanaume mpenzi wangu amenichanganya kwa tabia zake, sijui iwapo ananipenda au la. Siku za mwanzo za uhusiano wetu...

SHANGAZI AKUJIBU: Nilifumania mke nikamuacha, wa zamani ananitaka

Na SHANGAZI SIZARINA Hujambo shangazi? Nilikuwa nimeoa lakini nikamuacha mke wangu nilipomfumania na mwanaume mpango wake wa kando. Bado...

SHANGAZI AKUJIBU: Mapenzi yake ni ya mdomo tu, hakuna vitendo

Shikamoo shangazi. Kuna msichana ambaye nampenda kwa dhati lakini nina shaka iwapo yeye pia ananipenda. Sababu ni kuwa ananipenda kwa...

SHANGAZI AKUJIBU: Mume wangu bado anafuatafuata mke wa zamani

Kwako shangazi. Nimeolewa na mwanamume ambaye alikuwa amezaa na mwanamke mwingine kabla hajanioa. Sasa nimegundua bado anamfuata mwanamke...

SHANGAZI: Nilimfumania ndani ya gari akigawa asali. Nitafanya nini?

Na SHANGAZI SIZARINA Pokea salamu zangu shangazi. Ninaumwa sana moyoni baada ya mwanamke mpenzi wangu kusaliti penzi letu. Juzi mimi...