Tag: tusker
- by T L
- December 24th, 2021
Tusker wazuru Tunis, huku Gor wakisubiri Congo
Na CECIL ODONGO Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Nchini (KPL) Tusker na Gor Mahia wameimarisha maandalizi kwa mechi zao za kufa kupona...
- by T L
- December 11th, 2021
TAHARIRI: Gor, Tusker hazikufaa kubanduliwa kombe la CAF
KITENGI cha UHARIRI MASHABIKI wa soka nchini walikumbwa na masikitiko tele baada ya timu mbili za Kenya kuondolewa kwenye mashindano ya...
- by T L
- November 26th, 2021
Tusker, Gor zalenga ushindi Caf kesho
Na CECIL ODONGO Tusker na Gor Mahia zimesisitiza kuwa zitapigania ushindi katika mechi za mkondo wa kwanza kwenye Kombe la Mashirikisho...
- by adminleo
- May 7th, 2020
Usimamizi wa Tusker sasa unakarabati uwanja wao wa Ruaraka
Na CHRIS ADUNGO WASIMAMIZI wa kikosi cha Tusker FC wameanza kuukarabati uwanja wao wa nyumbani wa Ruaraka baada ya soka ya humu nchini...
- by adminleo
- March 8th, 2020
Mathare United, Tusker zasajili ushindi
Na GEOFFREY ANENE WENYEJI Mathare United, Western Stima, Tusker na Bandari walikuwa na siku nzuri Jumamosi uwanjani baada ya kuzoa...
- by adminleo
- November 15th, 2018
Tusker yamtema Osumba
NA CECIL ODONGO MABINGWA mara 11 wa KPL Tusker FC wamemwachilia mchezaji wao nyota, kiungo mkabaji Brian Osumba ambaye alikuwa mhimili...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Tusker yaponea kichapo cha Rangers
Na GEOFFREY ANENE BONIFACE Muchiri alinasua Tusker FC kutoka minyororo ya kudondosha alama zote tatu katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya...
- by adminleo
- June 12th, 2018
Tusker mbioni kunasa vipaji sokoni kuimarisha kikosi
Na CECIL ODONGO MABINGWA mara 11 wa ligi kuu nchini KPL, Tusker FC wamejitosa sokoni mapema na kutwaa huduma za mshambulizi wa Bidco...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Kocha wa Kakamega Homeboyz afichua mbinu aliyotumia kuigaragaza Tusker
Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa Kakamega Homeboyz, Mike Mururi hatimaye amefichua siri aliyotumia kuizima timu ya kocha mwenzake Robert Matano,...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Matano kujitosa sokoni kusaka vipaji wa kuinyanyua Tusker
Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa Tusker FC, Robert Matano sasa anawazia kununua wachezaji wapya katika kidirisha cha uhamisho cha katikati ya...
- by adminleo
- May 9th, 2018
Matano kumkosa difenda matata dhidi ya Kariobangi Sharks
Na CECIL ODONGO KLABU ya Tusker itakosa huduma za mlinzi wake matata Erick Ambunya katika mechi yao ya KPL siku ya Jumapili dhidi ya...