• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Tusker wazuru Tunis, huku Gor wakisubiri Congo

Na CECIL ODONGO Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Nchini (KPL) Tusker na Gor Mahia wameimarisha maandalizi kwa mechi zao za kufa kupona...

TAHARIRI: Gor, Tusker hazikufaa kubanduliwa kombe la CAF

KITENGI cha UHARIRI MASHABIKI wa soka nchini walikumbwa na masikitiko tele baada ya timu mbili za Kenya kuondolewa kwenye mashindano ya...

Tusker, Gor zalenga ushindi Caf kesho

Na CECIL ODONGO Tusker na Gor Mahia zimesisitiza kuwa zitapigania ushindi katika mechi za mkondo wa kwanza kwenye Kombe la Mashirikisho...

Usimamizi wa Tusker sasa unakarabati uwanja wao wa Ruaraka

Na CHRIS ADUNGO WASIMAMIZI wa kikosi cha Tusker FC wameanza kuukarabati uwanja wao wa nyumbani wa Ruaraka baada ya soka ya humu nchini...

Mathare United, Tusker zasajili ushindi

Na GEOFFREY ANENE WENYEJI Mathare United, Western Stima, Tusker na Bandari walikuwa na siku nzuri Jumamosi uwanjani baada ya kuzoa...

Tusker yamtema Osumba

NA CECIL ODONGO MABINGWA mara 11 wa KPL Tusker FC wamemwachilia mchezaji wao nyota, kiungo mkabaji Brian Osumba ambaye alikuwa mhimili...

Tusker yaponea kichapo cha Rangers

Na GEOFFREY ANENE BONIFACE Muchiri alinasua Tusker FC kutoka minyororo ya kudondosha alama zote tatu katika mechi ya Ligi Kuu dhidi ya...

Tusker mbioni kunasa vipaji sokoni kuimarisha kikosi

Na CECIL ODONGO MABINGWA mara 11 wa ligi kuu nchini KPL, Tusker FC wamejitosa sokoni mapema na kutwaa huduma za mshambulizi wa Bidco...

Kocha wa Kakamega Homeboyz afichua mbinu aliyotumia kuigaragaza Tusker

Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa Kakamega Homeboyz, Mike Mururi hatimaye amefichua siri aliyotumia kuizima timu ya kocha mwenzake Robert Matano,...

Matano kujitosa sokoni kusaka vipaji wa kuinyanyua Tusker

Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa Tusker FC, Robert Matano sasa anawazia kununua wachezaji wapya katika kidirisha cha uhamisho cha katikati ya...

Matano kumkosa difenda matata dhidi ya Kariobangi Sharks

Na CECIL ODONGO KLABU ya Tusker itakosa huduma za mlinzi wake matata Erick Ambunya katika mechi yao ya KPL siku ya Jumapili dhidi ya...