Tag: tz
Maaskofu wafunguka kuhusu corona Tanzania, wataka wananchi waambiwe ukweli
LOUIS KALUMBIA NA MASHIRIKA Viongozi wa makanisa nchini Tanzania sasa wanataka waumini wapewe habari sahihi kuhusu maambukizi ya corona...
Upinzani wamtaka Magufuli ageuze katiba
Na The Citizen CHAMA cha Civic United Front (CUF) kinataka Rais John Pombe Magufuli kuanzisha mchakato wa kutaka kubadilisha katiba ili...
Mgombea urais wa Zanzibar atiwa mbaroni, Lissu apinga matokeo
Na WAANDISHI WETU MGOMBEAJI urais kisiwani Zanzibar kwa tiketi ya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad,...
Polisi waua watu watatu uchaguzi ukianza Tanzania
Na MASHIRIKA CHAMA kikuu cha upinzani katika kisiwa cha Zanzibar kisichojisimamia binafsi, kilisema jana kuwa watu watatu waliuawa na...
Magufuli aahidi uchaguzi huru kampeni zikitamatika leo
Na Mwandishi Wetu KAMPENI za Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania zinaisha saa kumi na mbili jioni leo huku Watanzania wakijiandaa kuchagua...
Wadadisi waonya ghasia zitachafua Tanzania
Na MASHIRIKA MAAFISA wa usalama wa Tanzania wanashinikizwa wawaadhibu wanaotekeleza ghasia za kisiasa wakati huu wa kampeni huku wadau...
- by adminleo
- April 8th, 2020
CORONA: Mwanahabari aliyetamani kuzuru Kenya
Na GEOFFREY ANENE Tanzania ni mojawapo ya mataifa yaliyochukua hatua za haraka kupunguza uwezekano wa maambukizi ya virusi hatari vya...
- by adminleo
- March 31st, 2020
Mgonjwa wa kwanza wa corona afariki Tanzania
Na GAZETI LA THE CITIZEN MTU wa kwanza Jumanne alifariki nchini Tanzania kutokana na virusi vya corona, ilisema serikali ya taifa...
- by adminleo
- January 20th, 2020
Wakenya walazimika kutafuta matibabu Tanzania
Na LUCY MKANYIKA HUKU serikali ikinuia kuhakikisha kuwa Wakenya wote wanapata huduma bora za afya kufikia mwaka wa 2022, wenyeji wa...
- by adminleo
- November 18th, 2019
Kanisa laomba waumini wasisusie uchaguzi wa TZ
NA CHRISTOPHER KIDANKA KANISA Katoliki nchini Tanzania, limetoa wito kwa waumini wake kutosusia uchaguzi wa madiwani na viongozi wa...
- by adminleo
- August 28th, 2019
UNHCR yapinga hatua ya TZ kutimua wakimbizi wa Burundi
Na AFP WAKIMBIZI 200,000 kutoka Burundi wamepewa makataa ya mwezi mmoja kuondoka Tanzania la sivyo watarejeshwa kwao kwa...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Maiti za waliokufa Tanzania kufanyiwa uchunguzi wa DNA
NA AFP SERIKALI ya Tanzania Jumatatu ilitangaza kuanzishwa kwa uchunguzi wa DNA kwenye miili iliyoteketea hadi kiwango cha...