• Nairobi
  • Last Updated May 13th, 2024 6:55 AM

Maaskofu wafunguka kuhusu corona Tanzania, wataka wananchi waambiwe ukweli

LOUIS KALUMBIA NA MASHIRIKA Viongozi wa makanisa nchini Tanzania sasa wanataka waumini wapewe habari sahihi kuhusu maambukizi ya corona...

Upinzani wamtaka Magufuli ageuze katiba

Na The Citizen CHAMA cha Civic United Front (CUF) kinataka Rais John Pombe Magufuli kuanzisha mchakato wa kutaka kubadilisha katiba ili...

Mgombea urais wa Zanzibar atiwa mbaroni, Lissu apinga matokeo

Na WAANDISHI WETU MGOMBEAJI urais kisiwani Zanzibar kwa tiketi ya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad,...

Polisi waua watu watatu uchaguzi ukianza Tanzania

Na MASHIRIKA CHAMA kikuu cha upinzani katika kisiwa cha Zanzibar kisichojisimamia binafsi, kilisema jana kuwa watu watatu waliuawa na...

Magufuli aahidi uchaguzi huru kampeni zikitamatika leo

Na Mwandishi Wetu KAMPENI za Uchaguzi Mkuu nchini Tanzania zinaisha saa kumi na mbili jioni leo huku Watanzania wakijiandaa kuchagua...

Wadadisi waonya ghasia zitachafua Tanzania

Na MASHIRIKA MAAFISA wa usalama wa Tanzania wanashinikizwa wawaadhibu wanaotekeleza ghasia za kisiasa wakati huu wa kampeni huku wadau...

CORONA: Mwanahabari aliyetamani kuzuru Kenya

Na GEOFFREY ANENE Tanzania ni mojawapo ya mataifa yaliyochukua hatua za haraka kupunguza uwezekano wa maambukizi ya virusi hatari vya...

Mgonjwa wa kwanza wa corona afariki Tanzania

Na GAZETI LA THE CITIZEN MTU wa kwanza Jumanne alifariki nchini Tanzania kutokana na virusi vya corona, ilisema serikali ya taifa...

Wakenya walazimika kutafuta matibabu Tanzania

Na LUCY MKANYIKA HUKU serikali ikinuia kuhakikisha kuwa Wakenya wote wanapata huduma bora za afya kufikia mwaka wa 2022, wenyeji wa...

Kanisa laomba waumini wasisusie uchaguzi wa TZ

NA CHRISTOPHER KIDANKA KANISA Katoliki nchini Tanzania, limetoa wito kwa waumini wake kutosusia uchaguzi wa madiwani na viongozi wa...

UNHCR yapinga hatua ya TZ kutimua wakimbizi wa Burundi

Na AFP WAKIMBIZI 200,000 kutoka Burundi wamepewa makataa ya mwezi mmoja kuondoka Tanzania la sivyo watarejeshwa kwao kwa...

Maiti za waliokufa Tanzania kufanyiwa uchunguzi wa DNA

NA AFP SERIKALI ya Tanzania Jumatatu ilitangaza kuanzishwa kwa uchunguzi wa DNA kwenye miili iliyoteketea hadi kiwango cha...