Tag: ubomoaji
Kaunti lawamani kuhusu ubomoaji
WINNIE ATIENO na FARHIYA HUSSEIN SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imelaumiwa kwa ubomoaji majengo ambao ulitokea katika sehemu tofauti za...
- by adminleo
- May 18th, 2020
UBOMOAJI: Matiang’i na wenzake wakaidi seneti
Na CHARLES WASONGA MAWAZIRI watatu na Mkurugenzi Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi wa Huduma Nairobi (NMS) Mohammed Badi wamefeli kufika...
- by adminleo
- May 17th, 2020
Ubomoaji katili
Na CHARLES WASONGA SAA chache baada ya Mahakama Kuu kutoa amri ya kusitishwa kwa ubomoaji zaidi katika kitongoji cha Kariobangi...
- by adminleo
- May 9th, 2020
Serikali yasitisha ubomoaji zaidi Kariobangi
NYAMBEGA GISESA na CHARLES WASONGA SERIKALI imesitisha ubomoaji zaidi katika kitongoji duni cha Kariobangi Sewerage kilichoko katika...
- by adminleo
- May 9th, 2020
KARIOBANGI: Baadhi ya wahasiriwa wajihusisha na vitendo vya uhalifu
Na GEOFFREY ANENE HUKU wahasiriwa wengi wa ubomoaji makazi mtaa wa mabanda wa Kariobangi Sewage wakianza kujiandikisha ili wapokee...
- by adminleo
- May 7th, 2020
MASAIBU: Ubomoaji waathiri vibaya wakazi wa Korogocho
Na GEOFFREY ANENE SIKU moja tu baada ya wakazi wa mtaa wa mabanda wa Kariobangi Sewage kuachwa bila makao na wengi kukesha nje kufuatia...
- by adminleo
- May 6th, 2020
Serikali yasema waliofurushwa Kariobangi walihadaiwa kununua vipande vya ardhi
Na SAMMY WAWERU SIKU kadhaa baada ya baadhi ya wakazi Kariobangi, Nairobi, kuachwa bila makao kufuatia ubomoaji wa nyumba zao, serikali...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Kizaazaa nyumba ikibomolewa Viwandani
Na SAMMY KIMATU KULIKUWA na sinema bila malipo katika eneo la Express kando ya barabara ya Likoni katika kaunti ya Nairobi Jumanne...
- by adminleo
- May 28th, 2019
Afueni ubomoaji wa soko Githurai kusitishwa
Na SAMMY WAWERU Wafanyabiashara na wachuuzi wa soko maarufu la Jubilee mtaani Githurai 45, Kiambu, wamepata afueni baada ya serikali...
- by adminleo
- May 6th, 2019
Maswali yaibuka kuhusu ubomozi wa nyumba Zimmerman
Na SAMMY WAWERU WAMILIKI wa majengo katika mradi wa shamba la chama cha ushirika cha Zimmerman Settlement Scheme, lililoko Nairobi,...
- by adminleo
- April 25th, 2019
Majengo yaliyojengwa kinyume cha sheria yabomolewa Kisii
JADSON GICHANA na CHARLES WASONGA MAAFISA wa Serikali ya Kitaifa na ile ya kaunti Alhamisi walibomoa majengo ambayo yamejengwa kinyume...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Tutapoteza Sh500 bilioni tukizidi kubomoa majengo – Balala
Na CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa Kamati ya Kuboresha Hali ya Jiji la Nairobi Najib Balala ameonya kuwa ikiwa shughuli ya ubomoaji...