Tag: UEFA
- by adminleo
- May 28th, 2019
UEFA ina heshima kuliko EPL, Klopp amwambia Guardiola
MASHIRIKA NA CECIL ODONGO MENEJA wa Liverpool Jurgen Klopp amemjibu mwenzake wa Manchester City Pep Guardiola, aliyedai kwamba Ligi Kuu...
- by adminleo
- May 13th, 2019
UEFA: Kwa kweli soka haina adabu
NA JOB MOKAYA WIKI iliyopita, ulimwengu wa soka ulishuhudia maajabu ya nane ya ulimwengu huku maajabu ya saba yakiwa kule kuvuka kwa...
- by adminleo
- May 9th, 2019
UEFA: Shabiki wa Liverpool afariki akisherehekea bao la Origi
MASHIRIKA NA CHARLES WASONGA SHABIKI wa Liverpool alifariki juzi alipokuwa akisherehekea bao la nne la timu hiyo dhidi ya timu ya FC...
- by adminleo
- May 9th, 2019
Nishabikie Liverpool au Spurs? Sonko ajipata kwa njia panda
Na PETER MBURU GAVANA wa Nairobi Mike Sonko ni mmoja wa Wakenya wengi wanaoshindwa timu watakayoshabikia katika mechi ya fainali za ya...
- by adminleo
- May 8th, 2019
UEFA: Liverpool waichinja Barcelona na kutinga fainali
NA FAUSTINE NGILA LIVERPOOL, UINGEREZA NI HISTORIA! Vijana wa kocha Jurgen Klopp wametinga fainali ya Klabu Bingwa Ulaya Jumanne...
- by adminleo
- May 7th, 2019
Liverpool ina nafasi kutinga fainali UEFA, Daglish asema
NA CECIL ODONGO NYOTA wa zamani wa Liverpool Kenny Daglish ameeleza matumaini yake kwamba timu hiyo ina uwezo wa kuyafunga mabao matatu...
- by adminleo
- April 15th, 2019
Sababu zitakazowavunia Barcelona au City ufalme UEFA
NA MWANDISHI WETU MECHI za maruadiano ya robo-fainali za kuwania taji la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu zitasakatwa wiki hii huku...
- by adminleo
- April 9th, 2019
OTEA MBALI: Manchester City waendea Tottenham Hotspur
Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA TOTTENHAM Hotspur watakuwa leo Jumanne wenyeji wa Manchester City katika mchuano wa mkondo...
- by adminleo
- March 26th, 2019
Ujerumani yalaza Uholanzi mechi ya kufuzu Euro
Na MASHIRIKA ARMSTERDAM, UHOLANZI KOCHA Ronald Koeman wa Uholanzi amesema anajutia kutofanyia kikosi chake mabadiliko muhimu mwishoni mwa...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Mataji ya UEFA na Uropa yatatua Uingereza muhula huu
NA CHRIS ADUNGO DROO ya robo-fainali za Ligi ya Uropa msimu huu ina maana kwamba Arsenal wanaweza tu kukutana na Chelsea kwenye fainali...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Man City, Barcelona, Liverpool au Juventus pazuri kunyakua UEFA
NA CHRIS ADUNGO UPO uwezekano mkubwa kwa mshindi wa taji la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) muhula huu kutokea nchini Uingereza. Klabu hiyo ni...
- by adminleo
- March 16th, 2019
Droo moto Ulaya Manchester United, Arsenal wakipangwa na miamba
Na MASHIRIKA NYON, Uswizi MITIHANI mikali inasubiri Manchester United na Arsenal katika Klabu Bingwa Ulaya na Ligi ya Uropa baada ya...