Tag: ufugaji
- by adminleo
- July 31st, 2019
UFUGAJI: Tunza ng’ombe wa maziwa jinsi unavyoweza kutunza mtoto mchanga
Na MWANGI MUIRURI LISHE bora, kutobahatisha na magonjwa na usafi wa kimazingira ndio viungo muhimu katika kumtunza ng’ombe wa gredi...
- by adminleo
- July 26th, 2019
AKILIMALI: Mfugaji Limuru asema nguruwe wana faida
Na MARY WANGARI NI kipi kinakujia akilini mwako jina nguruwe linapotajwa? Bila shaka ni mambo yote ya kuchukiza kama vile uvundo,...
- by adminleo
- July 18th, 2019
BIASHARA MASHINANI: Malengo yake ni kugeuza kijiji kuwa kitovu cha maziwa
Na PHYLLIS MUSASIA KIJIJI cha Surungai katika eneobunge la Cherang’any, Kaunti ya Trans-Nzoia hakina umaarufu, na kila kitajwapo,...
- by adminleo
- July 18th, 2019
AKILIMALI: Kifaa kipya kinachotatua changamoto nyingi za ufugaji kuku
Na RICHARD MAOSI TEKNOLOJIA ya kisasa imekuja na mbinu nyingi za kuboresha ufugaji, hasa kwa wakulima wadogo na wakubwa waliojikita...
- by adminleo
- June 20th, 2019
ZARAA NA TALANTA: Mahindi yalimvutia njaa akaona akimbilie mboga na maharagwe
Na CHRIS ADUNGO STEPHEN Wanyonyi ni mkuzaji wa maharagwe na kunde katika sehemu ya Kibomet, Kitale. Amekuwa akitegemea kilimo hiki...
- by adminleo
- June 16th, 2019
Serikali yaonya wachochezi kwenye mzozo wa malisho
Na LUCY MKANYIKA SERIKALI imeonya wanasiasa wa kaunti ya Taita Taveta dhidi ya kuchochea mzozo unaoendelea kati ya wenyeji na wafugaji...
- by adminleo
- May 21st, 2019
Agnettah Zaddock: Anawezaje kuwa mwigizaji hodari na pia mfugaji kuku?
Na JOHN KIMWERE AKIWA mdogo alitamani sana kuhitimu kuwa mwanasheria tajika humu nchini. Hata hivyo akiwa sekondari alivutiwa zaidi na...
- by adminleo
- April 4th, 2019
AKILIMALI: Mapungufu ya mwilini hayajamzuia kuibuka stadi wa kufuga kuku
Na CORNELIUS MUTISYA na CHARLES WASONGA INGAWA ni mlemavu, Michael Wambua Nduya amedhihirisha bayana kuwa kujipata katika hali hiyo katu...
- by adminleo
- March 29th, 2019
Wafugaji wa kuku Kiambu wanunuliwa kiangulio
Na LAWRENCE ONGARO WAFUGAJI wa kuku wa Kiambu Poultry Farmers Society wamejitolea kupiga hatua katika mradi huo. Mbunge wa Thika,...
- by adminleo
- March 8th, 2019
‘Githeri Man’ hufuga kuku wa kienyeji, japo si wa biashara
Na SAMMY WAWERU MARTIN Kamotho Njenga alipata umaarufu wakati wa uchaguzi mkuu wa 2017 kwa kula pure 'githeri' kwenye foleni. Picha...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Wafugaji kuku Kiambu waililia serikali iwaokoe
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Gakui, Gatundu Kaskazini wanalalamikia kufifia kwa biashara ya ufugaji wa kuku. Wakulima hao...
- by adminleo
- December 13th, 2018
AKILIMALI: Vifaranga wangu wanakufa ghafla, mbona?
SWALI: MIMI ni PHILEMON ETIAT, mfugaji wa kuku wa kienyeji kutoka eneo la Malaba, Busia. Vifaranga wangu wa mwezi mmoja walianza kunyonyoka...