Tag: ukimwi
- by adminleo
- May 2nd, 2019
TAHARIRI: Wadau waungane kudhibiti maambukizi ya HIV
NA MHARIRI KUIBUKA kwa ripoti kuwa maambukizi ya virusi vya HIV yameongezeka nchini kutokana na migomo ya mara kwa mara ya wahudumu wa...
- by adminleo
- May 2nd, 2019
Kampuni ya Kikuyu sasa yatengeneza dawa za kupunguza makali ya HIV
NA DANIEL OGETTA KIWANDA kimoja mjini Kikuyu kimefanikiwa kutengeneza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) kwa kuzingatia mwongozo...
- by adminleo
- April 29th, 2019
Maambukizi ya HIV kutoka kwa mama hadi mtoto yaongezeka
Na GEORGE MUNENE BARAZA la Kudhibiti Maradhi ya Ukimwi (NACC) limeelezea wasiwasi wake kuhusu ongezeko la maambukizi ya virusi vya HIV...
- by adminleo
- March 7th, 2019
TAHARIRI: Ukimwi bado hauna tiba japo kuna tumaini
NA MHARIRI WANASAYANSI hatimaye wamedokeza kuwa huenda tiba ya maradhi ya Ukimwi ikapatikana baada ya kufanya majaribio kwa zaidi ya...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Historia mgonjwa wa pili wa Ukimwi akitibiwa na kupona
Na MASHIRIKA KWA mara ya pili katika historia, madaktari wamefanikiwa kutibu mtu aliyekuwa akiugua ugonjwa wa Ukimwi, baada ya virusi...
- by adminleo
- January 7th, 2019
Hakimu afichua alipigwa kalamu kwa kuugua Ukimwi
Na RICHARD MUNGUTI HAKIMU aliyefutwa kazi kwa kumfichulia msajili mkuu wa idara ya mahakama Bi Anne Amadi alikuwa akiugua Ukimwi anaomba...
- by adminleo
- December 1st, 2018
Ukimwi: Maambukizi kwa vijana yanatisha
VERAH OKEYO na ANGELA OKETCH WATAFITI na wataalamu wa afya wanaadhimisha Siku ya Ukimwi Ulimwenguni hii leo wakitoa wito kwa taifa...
- by adminleo
- November 28th, 2018
Aspirin inaweza kupunguza maambukizi ya HIV – Utafiti
ELIZABETH MERAB Na PETER MBURU IJAPOKUWA dawa ya Aspirin hutumiwa kupunguza uchungu wa mwili pale unapouma, sasa imebainika kuwa inaweza...
- by adminleo
- November 22nd, 2018
Mama wa Taifa azindua teknolojia mpya ya kuchunguza VVU kwa watoto
NA PSCU MAMA wa Taifa Margaret Kenyatta Alhamisi alijiunga na mwenzake wa Msumbiji, Isaura Nyusi, kuzindua kifaa cha kisasa katika...
- by adminleo
- November 6th, 2018
Hatimaye wanasayansi wagundua dawa inayoangamiza HIV
Na ANGELA OKETCH MATUMAINI ya kupatikana kwa dawa ya Ukimwi yameongezeka baada ya matokeo ya utafiti kwa dawa inayofahamika kama...
- by adminleo
- October 13th, 2018
Athari za HIV Bungoma kupigwa darubini
Na CHARLES WASONGA SHIRIKA la kuchunguza athari za kuenea kwa virusi vya HIV nchini Kenya (KENPHIA) litaendesha uchunguzi katika nyumba...
- by adminleo
- October 2nd, 2018
Ni dhambi kuu kutumia kondomu, Kanisa Katoliki laonya
Na WINNIE ATIENO KANISA Katoliki limesema kamwe halitokubali waumini wake kukumbatia matumizi ya kondomu licha ya takwimu kuonyesha...