Tag: umaskini
Maskini kuongezeka hadi milioni 490 barani Afrika
Na MASHIRIKA KAMPALA, Uganda IDADI ya maskini inatarajiwa kuongezeka barani Afrika katika miaka 10 ijayo, kulingana na ripoti ya...
Nairobi, kaunti za Mlima Kenya zaorodheshwa tajiri zaidi Kenya
Na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine Nairobi na kaunti za Mlima Kenya zimeorodheshwa kama tajiri zaidi kulingana na takwimu zilizotolewa...
Serikali yatoa Sh8.7 bilioni kusaidia familia maskini
Na WINNIE ONYANDO SERIKALI imetoa Sh8.7 bilioni Jumatano chini ya mpango wa Inua Jamii kama msaada kwa familia zisizojiweza hasa katika...
‘Sauti ya Mnyonge’ anayeendeleza ndoto ya kutetea maskini nchini akiwa Iceland
Na BENSON MATHEKA ALILAZIMIKA kuondoka Kenya akidai kwamba maisha yake yalikuwa hatarini kwa sababu ya kutetea haki za...
Raila aonya BBI ikipuuzwa umaskini utaongezeka Kenya
Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, ameonya kuwa mizozo iliyoshuhudiwa baina ya viongozi kuhusu ugavi wa...
- by adminleo
- August 11th, 2020
Tathmini ya KNBS yaonyesha viwango vya juu vya umaskini Kenya
Na CHARLES WASONGA ZAIDI ya nusu ya Wakenya wanaishi katika lindi la umaskini, kulingana na matokeo ya tathmini ya kipekee iliyofanywa...
- by adminleo
- July 24th, 2020
Maskini kupigwa kiboko
Na CHARLES WASONGA WATU wanaoishi katika kaunti maskini za Pwani, Kaskazini Mashariki na Ukambani wataendelea kuzama kwenye uchochole...
- by adminleo
- April 17th, 2020
CORONA: Maskini Nairobi kulipwa na serikali
Na VALENTINE OBARA WAKAZI wa jiji la Nairobi wasiojiweza kimapato watapokea msaada wa kifedha kila wiki kutoka kwa serikali kuu,...
- by adminleo
- February 3rd, 2020
Umaskini wazidi kutafuna Waafrika
Na PETER MBURU UCHUMI wa bara la Afrika unazidi kukua lakini hauwafaidi mamilioni ya Waafrika maskini, Benki ya Maendeleo ya Afrika...
- by adminleo
- July 14th, 2019
Ajabu ya matajiri wa mahindi kumezwa na ufukara
Na BARNABAS BII WAKULIMA wengi wa mahindi katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa wanaishi katika hali ya umaskini licha ya kupata...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Mabwanyenye wachache wanamiliki 80% ya utajiri Nairobi na Mombasa – Utafiti
Na BERNARDINE MUTANU WAKAZI wachache wa Nairobi na Mombasa ndio matajiri zaidi nchini Kenya kulingana na utafiti wa hivi punde. Utafiti...