• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 5:55 AM

UMBEA: Usiingie uhusiano sababu ya tamaa ya fedha au mwili

Na SIZARINA HAMISI PITAPITA zangu wakati mwaka huu unapoanza, nimebaini wengi walio kwenye ndoa ama uhusiano, wanaishi kwa mazoea. Na...

UMBEA: Usiwe zuzu wa mapenzi, kama wataka mume jibebe ipasavyo

Na SIZARINA HAMISI WANASEMA mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Na mwenye ndoa ni yule anayetaka ndoa. Dada, iwapo unataka...

UMBEA: Usihangaike bure; furaha yako unayo kiganjani mwako

Na SIZARINA HAMISI WANASEMA furaha hutoka moyoni kwa mtu. Hailetwi sababu ya pesa, hali fulani ya maisha ama watu fulani katika...

UMBEA: Hata kama ni dhahiri kosa si lako, omba msamaha kwanza

Na SIZARINA HAMISI KUKOSANA, kupishana maneno, kutokuelewana na hata kugombana ni mambo ya kawaida katika uhusiano. Ni mambo ambayo...

UMBEA: Unapopenda vitu vizuri, basi kuwa tayari pia kugharimika

Na SIZARINA HAMISI WANASEMA usione vyaelea, vimeundwa. Na ujumbe wa leo uwafikie akina kaka mnaofurahia wasichana warembo, mnaovutiwa...

UMBEA: Maisha ya ndoa yapo katika hatua 3: Raha, ujana na uzee

Na SIZARINA HAMISI MAISHA ya ndoa siku hizi yamekuwa kitendawili kwa wengi. Mapenzi ndani ya ndoa nyingi siku hizi yamepungua na kwa...

UMBEA: Lugha kavu, tena ya mkato ni dalili mapenzi yaanza kuchuja

Na SIZARINA HAMISI HAYA maisha tunaishi hapa duniani sio ya kudumu. Yana mwisho wake. Hivyo usimtese, kumkwaza ama kumkomesha...

UMBEA: Iwapo hakupendi mpishe na umpatie nafasi, usijaribu kulazimisha mambo!

Na SIZARINA HAMISI KATIKA pitapita zangu hivi karibuni, nilikutana na dada ambaye alinisimulia mengi kuhusu ndoa yake. Akanieleza...

UMBEA: Siku zote uhusiano ulioelemea upande mmoja hauwezi kufanikiwa

Na SIZARINA HAMISI WAPO akina dada walio kwenye uhusiano wenye miiba. Kwamba kulia sababu ya mume imekuwa ni sehemu ya maisha yake ya...

UMBEA: Changamoto za kunyoosha viungo na mwenzako kazini

Na SIZARINA HAMISI INGAWA mapenzi hayana macho, hayasikii na wala hayaoni, kuna hali zingine huwa zinaleta utata katika...

UMBEA: Sifa ya mwanamke sio kauli kali au ubabe, ni kubembeleza

Na SIZARINA HAMISI PAMOJA na kwamba mdomo ni mali yako na tena hulipii kodi, mdomo huu, huponza wengi. Wapo akina dada ambao hutumia...

UMBEA: Kuna mawimbi katika ndoa, upende usipende, yatatokea

Na SIZARINA HAMISI WANASEMA ndoa huwa ni ndoano kwa baadhi ya wanandoa. Kwamba katika maisha yao ya kuwa pamoja imekuwa ni kupanda...