Tag: umbea
- by adminleo
- January 18th, 2020
UMBEA: Usiingie uhusiano sababu ya tamaa ya fedha au mwili
Na SIZARINA HAMISI PITAPITA zangu wakati mwaka huu unapoanza, nimebaini wengi walio kwenye ndoa ama uhusiano, wanaishi kwa mazoea. Na...
- by adminleo
- November 30th, 2019
UMBEA: Usiwe zuzu wa mapenzi, kama wataka mume jibebe ipasavyo
Na SIZARINA HAMISI WANASEMA mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Na mwenye ndoa ni yule anayetaka ndoa. Dada, iwapo unataka...
- by adminleo
- November 23rd, 2019
UMBEA: Usihangaike bure; furaha yako unayo kiganjani mwako
Na SIZARINA HAMISI WANASEMA furaha hutoka moyoni kwa mtu. Hailetwi sababu ya pesa, hali fulani ya maisha ama watu fulani katika...
- by adminleo
- October 26th, 2019
UMBEA: Hata kama ni dhahiri kosa si lako, omba msamaha kwanza
Na SIZARINA HAMISI KUKOSANA, kupishana maneno, kutokuelewana na hata kugombana ni mambo ya kawaida katika uhusiano. Ni mambo ambayo...
- by adminleo
- October 19th, 2019
UMBEA: Unapopenda vitu vizuri, basi kuwa tayari pia kugharimika
Na SIZARINA HAMISI WANASEMA usione vyaelea, vimeundwa. Na ujumbe wa leo uwafikie akina kaka mnaofurahia wasichana warembo, mnaovutiwa...
- by adminleo
- October 11th, 2019
UMBEA: Maisha ya ndoa yapo katika hatua 3: Raha, ujana na uzee
Na SIZARINA HAMISI MAISHA ya ndoa siku hizi yamekuwa kitendawili kwa wengi. Mapenzi ndani ya ndoa nyingi siku hizi yamepungua na kwa...
- by adminleo
- October 5th, 2019
UMBEA: Lugha kavu, tena ya mkato ni dalili mapenzi yaanza kuchuja
Na SIZARINA HAMISI HAYA maisha tunaishi hapa duniani sio ya kudumu. Yana mwisho wake. Hivyo usimtese, kumkwaza ama kumkomesha...
- by adminleo
- September 28th, 2019
UMBEA: Iwapo hakupendi mpishe na umpatie nafasi, usijaribu kulazimisha mambo!
Na SIZARINA HAMISI KATIKA pitapita zangu hivi karibuni, nilikutana na dada ambaye alinisimulia mengi kuhusu ndoa yake. Akanieleza...
- by adminleo
- September 21st, 2019
UMBEA: Siku zote uhusiano ulioelemea upande mmoja hauwezi kufanikiwa
Na SIZARINA HAMISI WAPO akina dada walio kwenye uhusiano wenye miiba. Kwamba kulia sababu ya mume imekuwa ni sehemu ya maisha yake ya...
- by adminleo
- September 14th, 2019
UMBEA: Changamoto za kunyoosha viungo na mwenzako kazini
Na SIZARINA HAMISI INGAWA mapenzi hayana macho, hayasikii na wala hayaoni, kuna hali zingine huwa zinaleta utata katika...
- by adminleo
- August 31st, 2019
UMBEA: Sifa ya mwanamke sio kauli kali au ubabe, ni kubembeleza
Na SIZARINA HAMISI PAMOJA na kwamba mdomo ni mali yako na tena hulipii kodi, mdomo huu, huponza wengi. Wapo akina dada ambao hutumia...
- by adminleo
- August 24th, 2019
UMBEA: Kuna mawimbi katika ndoa, upende usipende, yatatokea
Na SIZARINA HAMISI WANASEMA ndoa huwa ni ndoano kwa baadhi ya wanandoa. Kwamba katika maisha yao ya kuwa pamoja imekuwa ni kupanda...