Tag: umeme
- by adminleo
- May 21st, 2018
Je, maji haya yatapunguza gharama ya umeme?
Na BERNARDINE MUTANU Bei ya umeme inatarajiwa kushuka zaidi katika muda wa miezi kadhaa ijayo kutokana na ongezeko la kiwango cha maji...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Mkakati mpya wa kupunguza ada ya umeme
Na BERNARDINE MUTANU Ni habari njema kwa Wakenya baada ya serikali kuondoa baadhi ya ada inazotoza umeme. Hatua hiyo ni kumaanisha...
- by adminleo
- April 25th, 2018
Kenya Power ichunguzwe kwa kuwapunja Wakenya – Wabunge
Na CHARLES WASONGA MHASIBU Mkuu wa serikali Edward Ouko ametakiwa kuufanyia ukaguzi mfumo ambao hutumiwa na kampuni ya kusambaza umeme...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Mvua inayonyesha kuchangia kushuka kwa ada ya umeme
Na BERNARDINE MUTANU Gharama ya umeme inatarajiwa kushuka kwa kiasi kikubwa kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Agizo picha za walaghai wa umeme zisichapishwe
Na BENSON MATHEKA POLISI wameagizwa kutochapisha au kusambaza picha za washukiwa wanaodaiwa kujifanya wafanyakazi wa kampuni ya Kenya...
- by adminleo
- April 5th, 2018
Mamia ya wakazi waachwa gizani na Kenya Power msakoni Tassia
Na BERNARDINE MUTANU Kampuni ya Kenya Power imewaacha bila stima wakazi wa orofa 20 katika mtaa wa Tassia, Nairobi wakati wa operesheni...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Gharama ya umeme kupanda mwishoni mwa Machi
Na BERNARDINE MUTANU GHARAMA ya matumizi ya umeme inatarajiwa kupanda juu zaidi mwezi huu. Hii ni baada ya Tume ya Kudhibiti Kawi (ERC)...
- by adminleo
- February 20th, 2018
Gharama ya umeme kupanda zaidi kusiponyesha
[caption id="attachment_1849" align="aligncenter" width="800"] Kifaa cha kidijitali cha kuhesabu matumizi ya umeme. Picha/...