Tag: umeme
- by adminleo
- March 21st, 2019
Mvutano bungeni Keter akikataa kujibu maswali kuhusu mradi wa Sh74b
Na CHARLES WASONGA KULITOKEA majibizano makali katika kamati moja ya seneti Jumatano adhuhuri pale Waziri wa Kawi Charles Keter...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Wakenya sasa wanatumia umeme zaidi
Na BERNARDINE MUTANU Matumizi ya umeme nchini yameendelea kuongezeka kutokana na ripoti mpya. Katika muda wa miaka minne, matumizi ya...
- by adminleo
- November 1st, 2018
Tabaka la wastani kuzidi kununua umeme kwa bei ya zamani
Na BERNARDINE MUTANU Wakenya wa mapato kiwango cha wastani hawatanufaishwa na gharama mpya ya matumizi ya umeme. Hii ni baada ya Tume ya...
- by adminleo
- November 1st, 2018
Wananchi kufaidika baada ya ERC kupunguza bei ya umeme
Na BERNARDINE MUTANU TUME ya Kudhibiti Kawi (ERC) imepunguza gharama ya matumizi ya umeme kwa watumiaji wa kawaida. Wakati wa mkutano...
- by adminleo
- October 24th, 2018
Faraja kwa kampuni za wastani ERC ikitathmini ada za umeme
Na BERNARDINE MUTANU TUME ya Kudhibiti Kawi (ERC) inamalizia kutathmini ada mpya ya umeme kwa kampuni za wastani na zile ndogo. Kutokana...
- by adminleo
- October 18th, 2018
GHARAMA YA MAISHA: Bei ya stima kupanda tena huku Safaricom ikizidi kuwa ghali
VICTOR JUMA Na BENSON MATHEKA BEI ya stima inatarajiwa kupanda tena katika juhudi za Serikali kupata Sh66 bilioni za kulipa kampuni...
- by adminleo
- August 21st, 2018
Mkaguzi bandia wa mita za Kenya Power anaswa
Na CHARLES WASONGA MAAFISA wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) jijini Nairobi wamemkamata mwanamume mmoja ambaye alikuwa...
- by adminleo
- August 16th, 2018
Kushuka kwa ada ya umeme kuchukua muda
Na BERNARDINE MUTANU Huenda bei ya umeme ikashuka baada ya Wizara ya Kawi kumaliza mikataba ya ununuzi wa kawi (PPA). Waziri wa Kawi...
- by adminleo
- July 31st, 2018
Wakenya wa tabaka la chini kupumua bei ya umeme kushuka
Na VALENTINE OBARA WAKENYA wanatazamiwa kunufaika kutokana na bei nafuu ya umeme kufuatia hatua ya Tume ya Kudhibiti Kawi (ERC)...
- by adminleo
- June 19th, 2018
Tutapunguza ada ya umeme mradi wa Olkaria ukikamilika – Serikali
Na KAZUNGU SAMUEL KAMPUNI ya kutengeneza umeme nchini, KenGen Jumatatu ilisema kuwa gharama za umeme zinatarajiwa kupungua...
- by adminleo
- May 29th, 2018
UMEME KWA WOTE: Bei ghali yazidi kulemaza mpango
Na VALENTINE OBARA BI ANNE Mueni ni mfanyabiashara anayemiliki hoteli katika eneo la Burani, Kaunti ya Kwale, ambaye ameamua kutegemea...