Tag: ushuru
- by adminleo
- September 13th, 2018
RASMI: Uhuru akataa kuondoa ushuru wa 16%, bei ya bidhaa kuzidi kupanda
Na CHARLES WASONGA NI rasmi kwamba gharama ya maisha sasa itaendelea kupanda baada ya Rais Uhuru Kenyatta kukataa kutia saini Mswada wa...
- by adminleo
- September 12th, 2018
USHURU: Uhuru alivyotegwa
Na BENSON MATHEKA IMEJITOKEZA kuwa wabunge walifanyia mabadiliko sheria ya fedha ili kumsukumia mzigo Rais Uhuru Kenyatta nao...
- by adminleo
- September 11th, 2018
Uhuru arejea nchini kimya kimya, ajifungia Ikulu kujadili ushuru
Na CHARLES WASONGA BAADA ya kurejea nchini kimyakimya mnamo Jumapili usiku, Rais Uhuru Kenyatta Jumanne alifanya kikao cha faraghani...
- by adminleo
- September 8th, 2018
Joho akumbana na ghadhabu za wakazi kwa kuongeza ushuru
Na WINNIE ATIENO Serikali ya Kaunti ya Mombasa Jumamosi ilijipata taabani kufuatia kodi ya gharama ya juu kwenye Mswada wa Fedha wa...
- by adminleo
- September 7th, 2018
Biashara ndogo ndogo zawekewa ushuru mpya
Na WINNIE ATIENO Kufanya biashara katika Kaunti ya Mombasa sasa kutagharimu wafanyabiashara wadogo zaidi baada ya serikali ya kaunti...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Uhuru kona mbaya kutuliza ghadhabu za Wakenya
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta anarejea nchini kutoka China akiwa kwenye kona mbaya kutokana na shinikizo ambazo zimetokana na...
- by adminleo
- September 4th, 2018
Ushuru zaidi waja – Ruto
Na WAANDISHI WETU SIKU mbili tu baada ya ushuru wa asilimia 16 wa VAT kwa mafuta kuanza kutekelezwa, Naibu Rais William Ruto jana...
- by adminleo
- August 16th, 2018
TAHARIRI: Kinaya ni kuwa hela za ushuru bado zitafujwa
NA MHARIRI Hayawi hayawi hatimaye huwa na sasa baadhi ya ushuru mpya uliopendekezwa na serikali kwenye bajeti tayari umeanza...
- by adminleo
- August 8th, 2018
TAHARIRI: Serikali ifikirie tena juu ya ushuru mpya
Na MHARIRI MPANGO wa serikali wa kujenga makazi mapya katika sehemu za miji nchini ni mzuri na bila shaka utakuwafaa mamilioni ya...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Wenye mshahara mnono kukatwa ushuru wa juu
Na BERNARDINE MUTANU WATU binafsi na kampuni zinazopata mapato ya juu zaidi nchini wameongezewa ushuru wa asilimia 35 huku Hazina ya Fedha...
- by adminleo
- May 17th, 2018
Mswada wa Ushuru kupandisha bei ya bidhaa muhimu
Na CHARLES WASONGA BEI ya unga wa ugali, mikate na mihogo inatarajiwa kupanda ikiwa mswada uliowasilishwa bungeni mwezi Aprili...
- by adminleo
- April 24th, 2018
KRA yapungukiwa na Sh17 bilioni
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Kutoza Ushuru nchini (KRA) lilikosa kupata zaidi ya Sh17 bilioni kama ushuru. Hii ni baada ya serikali...