Tag: ushuru
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Wakazi wa Nairobi kutozwa ushuru zaidi
Na BERNARDINE MUTANU WAKAZI wa Kaunti ya Nairobi watalipa ushuru zaidi kutokana na kuanzishwa kwa aina mpya za madaraja ya ushuru na...
- by adminleo
- October 22nd, 2018
TAHARIRI: Mzigo wa ushuru usiachiwe wachache
NA MHARIRI KENYA imeshindwa kufikia matarajio yake ya ukusanyaji ushuru kutokana na kuendelea kutegemea sekta chache za kiuchumi kulipa...
- by adminleo
- September 25th, 2018
Wakenya sasa wamlilia Okiya Omtatah awakomboe, wamfadhili kupitia M-Pesa
Na PETER MBURU MWANAHARAKATI Okiya Omtatah ambaye amegeuka mtetezi mkuu wa Wakenya kwenye masuala ya umuhimu wa kitaifa amezidi kupokea...
- by adminleo
- September 25th, 2018
Gavana Mutua apondwa kujifanya anahisi uchungu wa ‘Wanjiku’
Na PETER MBURU GAVANA wa Machakos Alfred Mutua amekumbana na ghadhabu za Wakenya baada ya kujaribu kulalamika kuhusu kupandishwa kwa...
- by adminleo
- September 25th, 2018
Komeni kulalamika kuhusu ushuru, Ruto awaambia Wakenya
WYCLIFFE KIPSANG NA LEONARD ONYANGO NAIBU Rais William Ruto ametetea hatua ya serikali kuongeza ushuru akiwataka Wakenya ‘kutopiga...
- by adminleo
- September 25th, 2018
GHARAMA YA MAISHA: Kejeli na matusi kwenye akaunti za Rais mitandaoni
Na PETER MBURU WAKENYA kwenye mitandao ya kijamii wameonekana kumvunjia Rais Uhuru Kenyatta heshima tangu alipotia sahihi Mswada wa Fedha...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Wakenya watumia mafungu ya Biblia kukemea wabunge
Na PETER MBURU GHADHABU ya Wakenya kufuatia hatua ya bunge kupitisha sheria ya kupandisha ushuru wa bidhaa muhimu imewapelekea kuamua...
- by adminleo
- September 19th, 2018
Huenda ada ya kutoa Sh500 M-Pesa ikaongezeka kutoka Sh28 hadi Sh46
Na PETER MBURU Wakenya wanakumbana na hali ngumu ya maisha, kufuatia mapendekezo kwenye sheria ya kutoza ushuru, ambayo yatapandisha...
- by adminleo
- September 19th, 2018
Wakenya wamponda ‘Baba’ kwa kuunga mkono ushuru wa 8%, wamwita msaliti
VIVERE NANDIEMO na PETER MBURU WAKENYA wakiongozwa na Raila Odinga Junior wamemkashifu babake na kiongozi wa Nasa Raila Odinga kwa...
- by adminleo
- September 17th, 2018
Wabunge wa Jubilee waapa kumng’oa Rotich ofisini
Na CHARLES WANYORO WABUNGE wawili wa chama cha Jubilee wametoa mwito kwa Rais Uhuru Kenyatta amfute kazi Waziri wa Fedha Henry Rotich...
- by adminleo
- September 17th, 2018
Wabunge wakaidi pendekezo la Uhuru
BENSON MATHEKA na SAMUEL KAZUNGU WABUNGE wa upande wa Serikali na upinzani wameonekana kuungana katika kukaidi mapendekezo ya Rais Uhuru...
- by adminleo
- September 14th, 2018
Uhuru apendekeza ushuru wa mafuta upunguzwe hadi 8%
Na CHARLES WASONGA WAKENYA watapata afueni kidogo baada ya Rais Uhuru Kenyatta kupendekeza kupunguza ushuru kwa mafuta kutoka asilimia...