Tag: Vihiga Queens
- by T L
- April 18th, 2022
Vihiga Queens inaendeleza rekodi ya kutoshindwa
Na JOHN KIMWERE VIHIGA Queens inaendeleza rekodi ya kutoshindwa pia inazidi kukaa kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake...
- by T L
- January 31st, 2022
Kocha Vihiga Queens asema hakuna kulaza damu Ligi kuu
Na JOHN KIMWERE KAMPENI za kuwania taji la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake zinaendelea kuchacha huku Vihiga Queens ikizidi kukaa kileleni...
- by T L
- January 24th, 2022
Vihiga Queens kileleni licha ya sare
Na JOHN KIMWERE VIHIGA Queens ingali kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Soka la Wanawake licha ya kutoka sare tasa na Gaspo Women ugani...
- by T L
- November 10th, 2021
Raha tele Vihiga Queens ikitamba Misri na kunusia nusu-fainali CAF
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA WA AFRIKA Mashariki na Kati (CECAFA) Vihiga Queens, waliwapa Wakenya raha baada ya kunyamazisha ASFAR kutoka...
Gavana Ottichilo atimiza ahadi ya kuwapa Vihiga Queens Sh1 milioni
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa soka ya klabu za akina dada ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) Vihiga Queens wametunukiwa Sh1 milioni na...
Vihiga Queens waibuka malkia wa Cecafa, wapokea Sh3m na kuingia Klabu Bingwa Afrika
Na GEOFFREY ANENE VIHIGA Queens wamejikatia tiketi ya kushiriki makala ya kwanza ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kuduwaza wanabenki wa...
Vihiga Queens kufufua uadui na CBE ya Ethiopia kwenye fainali ya Cecafa kuingia Klabu Bingwa Afrika
Na GEOFFREY ANENE WENYEJI Vihiga Queens watamenyana na CBE (Ethiopia) katika fainali ya mashindano ya Afrika Mashariki na Kati (Cecafa)...
Vihiga Queens yaahidi Gavana Ottichilo kutwaa taji la Cecafa
Na GEOFFREY ANENE VIHIGA Queens imeahidi Gavana wa Kaunti ya Vihiga, Wilber Ottichilo kuwa itashinda mashindano ya kina dada ya klabu za...