• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

VYAMA: CHAKIMO kilivyo mhimili thabiti katika ukuzaji Kiswahili chuoni Moi

NA CHRIS ADUNGO BAADA ya mataifa ya Afrika Mashariki kujinyakulia uhuru, baadhi ya vyuo vikuu na asasi nyinginezo za elimu zilitia shime...

VYAMA: Chama cha Kiswahili katika shule ya Upili ya Kambiti, Meru (CHAKIKA)

NA CHRIS ADUNGO KATIKA jitihada za kuwapa wanafunzi majukwaa mwafaka zaidi ya kujiimarisha kimasomo na kukuza talanta katika sanaa...

VYAMA: Chama cha Uanahabari Ukanda wa Magharibi ya Kenya (CHAUKEMA)

NA CHRIS ADUNGO CHAMA cha Uanahabari katika Ukanda wa Magharibi ya Kenya (CHAUKEMA) kilianzishwa na Bw Alexander Odhiambo Omondi mnamo...

TAHARIRI: Vyama vikubwa visitumie hila kuzuia uhamaji

KITENGO cha UHARIRI RIPOTI zimeibuka kuwa, baadhi ya vyama vikubwa vimepanga kuchelewesha kura za mchujo kimakusudi ili wale...

Msajili ajitenga na kashfa ya usajili vyamani

Na WANDERI KAMAU MSAJILI wa Mkuu wa Vyama vya Kisiasa nchini, Bi Anne Nderitu, amesema afisi yake haipaswi kulaumiwa kwa kashfa ambapo...

MARY WANGARI: Ni makosa kulazimishia Wakenya vyama vya kisiasa

Na MARY WANGARI WIKENDI jana, maelfu ya Wakenya walipigwa na butwaa kubaini kwamba wengi wao walikuwa wamesajiliwa kisiri katika vyama...

Vyama vipya vinaundwa kwa misingi ya ukabila – Msajili

NA MWANDISHI WETU MSAJILI wa Vyama vya Kisiasa, Bi Ann Nderitu, ameeleza hofu kuhusu ongezeko la vyama vya kisiasa vinavyoegemea ukabila...

Je, chama cha wilibaro kitasajiliwa?

Na LEONARD ONYANGO WANASIASA wamekimbia katika afisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa kujaribu kusajili vyama vilivyo na nembo ya...

Vyama vya siasa katika mbio za kutii masharti

Na KENNEDY KIMANTHI VYAMA vya kisiasa nchini viko mbioni kuhakikisha kuwa vimetimiza kanuni zote zilizo kwenye Katiba ili kutozuiwa...

ONYANGO: Vyama vya kisiasa havifai kufadhiliwa kwa pesa za umma

Na LEONARD ONYANGO KUNA haja ya kubadili Sheria ya Vyama vya Kisiasa ya 2011 ili kuondoa kifungu kinachotaka viwe vikifadhiliwa na fedha...

Msajili vyama atoa onyo kali kwa usitishaji wa uchaguzi

Na JUSTUS OCHIENG VYAMA vikuu vya kisiasa nchini, kikiwemo chama tawala cha Jubilee, vinakabiliwa na hatari ya kufutiliwa mbali ikiwa...

JAMVI: Kenya haina vyama thabiti kisiasa kama mataifa mengi Afrika

Na BENSON MATHEKA Rais Uhuru Kenyatta huenda akadumisha utamaduni wa marais wa Kenya wa kuhama vyama vya kisiasa kila baada ya miaka...