• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 8:46 PM

TAHARIRI: Wabunge wazimwe kujiongezea ujira

NA MHARIRI Hakikisho la Spika wa bunge la taifa Justin Muturi kwamba itakuwa kinyume cha katiba kwa wabunge kujiongezea mishahara ni...

Wabunge na maseneta kumumunya Sh400 milioni michezoni Burundi

CHARLES WASONGA na PETER MBURU HUKU nchi inapoendelea kuzongwa na changamoto za kifedha, wabunge na maseneta wamesafiri nchini Burundi...

#MheshimiwaFisi: Wabunge wapapurwa mitandaoni kujaribu kujiongezea mishahara

Na PETER MBURU WAKENYA kwenye mitandao ya kijamii wameanzisha vita dhidi ya wabunge ambao wanaunga mkono mjadala wa kujiongezea mshahara...

TAHARIRI: Hapana! Tusikubali wabunge kutufilisi

Na MHARIRI MPANGO mpya wa wabunge kutaka kujiongeza marupurupu na kudai maisha ya kifahari, unaonyesha jinsi ambavyo watu hao 416...

Wabunge kujiongeza mshahara tena

Na DAVID MWERE WABUNGE wanapanga kujiongeza tena mshahara pamoja na marupurupu mengine, miezi saba tu baada ya kupandisha mishahara...

Wabunge kuamua tarehe mpya ya uchaguzi

Na DAVID MWERE WABUNGE Jumatano wataupigia kura mswada unaopendekeza tarehe ya uchaguzi mkuu ujao ibadilishwe kutoka Jumanne ya pili ya...

Tunateswa na mabosi wetu, wafanyakazi wa wabunge walia

Na SAMWEL OWINO WAFANYAKAZI wa wabunge wamelalamika kuhusu mateso wanayopitia mikononi mwa baadhi ya wabunge. Mmoja wa wasaidizi wa...

Vijana wataka wabunge wapunguziwe malipo

Na OSCAR KAKAI MUUNGANO wa vijana umeitaka serikali kupunguza marupurupu ya wabunge, maseneta na madiwani pamoja na kupunguza idadi ya...

USAWA WA KIJINSIA: Shinikizo za utekelezaji wa Sheria ya Thuluthi Tatu zachacha

Na CHARLES WASONGA KAMATI ya Bunge kuhusu Haki na Masuala ya Kisheria (JLAC) inaunga mkono shinikizo za wabunge wanawake za kutaka bunge...

TAHARIRI: Tunawapa wabunge alama ya ‘E’ kwa utendakazi

Na MHARIRI AGOSTI 8, 2018 ni mwaka mmoja kamili tangu Uchaguzi Mkuu wa Agosti 8 mwaka 2017, ambapo mamilioni ya Wakenya walimiminika...

Wabunge wa Zambia wazuru Kenya kufunzwa mbinu za kuzima ufisadi

Na CECIL ODONGO KUNDI la wabunge wa Zambia linadaiwa kuwasili humu nchini kupata mafunzo maalum kuhusu njia faafu za vita dhidi ya...

Wabunge walia kuhangaishwa mitandaoni

Na JOSEPH WANGUI WABUNGE watatu wa Nyeri wamelalamika kuhusu jinsi wanavyoshambuliwa kwenye mitandao ya kijamii na watu wanaopinga...