• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:55 AM

Matiang’i atisha kufunga vyombo vya habari vinavyotumika kueneza chuki

Na ERIC MATARA SERIKALI imetishia kuvifunga vyombo vya habari vinavyotumika kueneza chuki huku kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9,...

Onyo kwa wanahabari kuhusu ripoti za kisiasa

Na WANDERI KAMAU WANAHABARI au vyombo vya habari ambavyo vitaonyesha mapendeleo kwa baadhi ya mirengo ya kisiasa vitaadhibiwa vikali...

Mtangazaji wa zamani wa KBC Gladys Erude afariki

Na Derick Luvega MTANGAZAJI maarufu aliyevuma katika miaka ya 1980 na 1990 Gladys Erude, alifariki Jumatano usiku akiwa na umri wa miaka...

TANZIA: Mhariri wa zamani wa Taifa Leo afariki

Na LEONARD ONYANGO MHARIRI msanifishaji wa zamani wa gazeti la Taifa Leo Dennis Geoffrey Mauya, maarufu Mauya Omauya, amefariki baada ya...

King’ang’i na wanahabari tisa waachiliwa baada ya kulala seli

Na George Munene MBUNGE wa Mbeere Kusini, Bw Geoffrey King’ang'i, pamoja na wanahabari tisa waliokamatwa Jumamosi katika eneo la...

MCK yalaani mauaji katili ya mwanahabari wa KBC

WANDERI KAMAU na VINCENT ACHUKA BARAZA la Vyombo vya Habari (MCK) jana limekashifu vikali mauaji ya kikatili dhidi ya Bi Betty Barasa,...

Visa vya wanahabari kuendelea kuhangaishwa na maafisa wa polisi na raia vinatia hofu, mmoja Milele FM akiuguza majeraha

Na SAMMY WAWERU VYOMBO vya habari na wafanyakazi wake hasa watangazaji, waandishi na wapiga picha wamekuwa wenye mchango mkubwa kipindi...

Wanahabari wa spoti wa NMG watwaa tuzo

Na MWANDISHI WETU Wanahabari wa spoti wa kampuni ya Nation Media Group (NMG) walitawala hafla ya utoaji tuzo za Muungano wa Wanahabari...

Mtangazaji wa zamani wa NTV afariki kutokana na corona

NA WANGU KANURI Aliyekuwa mtangazaji wa habari katika runinga yaNTV Winnie Mukami amefariki. Mukami aliaga dunia Alhamisi baada ya...

Uhuru amwomboleza mwanahabari aliyefariki kutokana na corona

CHARLES WASONGA na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ametuma risala za rambirambi kwa familia ya mwanahabari Robin Njogu ambaye alifariki...

Waandishi wa Thika wapewa hamasisho kuhusu wajibu wao

Na LAWRENCE ONGARO WAANDISHI wa habari wamehimizwa kuwa makini wanapoandika habari zao ili ziweze kuaminika. Walishauriwa kuwa mstari...

Wanahabari wataka waorodheshwe kwa watakaopewa chanjo ya corona

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha kutetea masilahi ya Wanahabari Nchini (KUJ) sasa anaitaka serikali kujumuisha wanachama wake miongoni mwa...