Tag: wanahabari
WANTO WARUI: Kuzuia wanahabari shuleni kunaficha maovu
NA WANTO WARUI Hatua ya hivi juzi ya Wizara ya Elimu kupiga marufuku vyombo vya habari shuleni huenda ikasababisha hasara zaidi kuliko...
CMIL-Kenya yatoa mafunzo ya kuboresha uanahabari nchini
NA FAUSTINE NGILA Kituo cha Unahabari na Elimu ya Mawasiliano nchini (CMIL-Kenya) kimeshirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano nchini (CA)...
- by adminleo
- July 24th, 2020
MUTUA: Serikali haijali maslahi ya raia ndani na nje ya nchi
Na DOUGLAS MUTUA MWANAHABARI Mkenya, Bw Yassin Juma, atapandishwa kizimbani nchini Ethiopia wiki ijayo kujibu mashtaka yanayoaminika...
- by adminleo
- June 2nd, 2020
Wanahabari 3 wa NMG watambuliwa na Rais
Na LUCY KILALO WANAHABARI watatu wa shirika la Nation Media Group, Nasibo Kabale, Vera Okeyo na Angela Oketch ni miongoni mwa watu...
- by adminleo
- December 11th, 2019
Wanahabari 250 wamo jela kote duniani – Ripoti
Na MASHIRIKA MATAIFA ya Misri, Eritrea na Cameroon yanaongoza kwa kudhulumu wanahabari barani Afrika. Kulingana na ripoti ya Kamati...
- by adminleo
- November 11th, 2019
Upinzani Bolivia wazima vituo vya habari vya serikali
NA AFP VIONGOZI wa upinzani nchini Bolivia Jumapili walivamia kituo cha runinga na kile cha redio, vyote vinavyomilikiwa na serikali na...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Uhuru wa wanahabari utiliwe mkazo Afrika – BBC
Na VALENTINE OBARA SHIRIKA la kimataifa la habari la BBC, Jumatano lilitoa wito kwa mashirika mengine ya habari Afrika kutilia mkazo...
- by adminleo
- September 10th, 2019
Wamiliki vyombo vya habari waonywa dhidi ya kudunisha wanahabari kimalipo
Na JUMA NAMLOLA BARAZA la Vyombo vya Habari nchini (MCK) limewaonya wamiliki wa vyombo hivyo wanaowakandamiza wanahabari kimalipo kuwa...
- by adminleo
- September 4th, 2019
Waajiri wahimizwa wafidie waandishi wanapovamiwa
Na WANDERI KAMAU ASASI za kusimamia waandishi wa habari nchini zimehimizwa kuhakikisha wanahabari wanalipwa ridhaa wanaposhambuliwa ama...
- by adminleo
- September 2nd, 2019
Wahariri waonya wanaodhuru wanahabari
Na KALUME KAZUNGU BODI ya wahariri wa Habari nchini (Editors Guild) imeonya vikali tabia ya baadhi ya watu kuwashambulia wanahabari...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Kamishna motoni kwa kuhangaisha wanahabari
Na WAIKWA MAINA BARAZA la Habari (MCK) limepuuzilia mbali agizo la Kamishna wa Kaunti ya Nyandarua, Bw Boaz Cherutich kwa vyombo vyote...
- by adminleo
- May 13th, 2019
ONGAJI: Wakati wa vyombo vya habari vya Kiswahili kuzinduka ni sasa
Na PAULINE ONGAJI NINA uhakika kwamba umepata fursa ya kukutana na picha za kejeli mtandaoni almaarufu kama 'meme' wakati wowote...