Tag: wauguzi
- by adminleo
- March 6th, 2019
Wauguzi sasa kuajiriwa kwa kandarasi
Na JILL NAMATSI WAUGUZI sasa watakuwa wakiajiriwa kwa kandarasi kufuatia mwafaka ambao ulifikiwa jana kati ya Serikali Kuu na zile za...
- by adminleo
- February 24th, 2019
Kaunti zilizowalipa wauguzi kunyimwa pesa
Na ANGELA OKETCH MWELEKEZI wa Bajeti, Agnes Odhiambo, ameonya Kaunti za Migori, Mombasa, Machakos na Kwale kwamba ni lazima zirejeshe...
- by adminleo
- February 22nd, 2019
Serikali ilivyochezea wauguzi
Na BENSON MATHEKA MGOMO wa wauguzi ulianza kufifia Alhamisi baada ya kuibuka kuwa walidanganywa kwenye mkataba wa pamoja waliotia sahihi...
- by adminleo
- February 20th, 2019
Wauguzi katika kaunti saba nao wajiunga na wenzao wanaogoma
Na WAANDISHI WETU WAUGUZI katika kaunti zingine saba wamejiunga na mgomo wa kitaifa ambao umeingia wiki ya tatu sasa, huku kaunti kadha...
- by adminleo
- February 14th, 2019
MGOMO: Serikali yavuna matunda ya kukaidi mahakama
Na BENSON MATHEKA UJASIRI wa wauguzi wa kukaidi agizo la Rais Uhuru Kenyatta Jumatano na kuendelea na mgomo wao, unaonyesha mtindo mbaya...
- by adminleo
- February 11th, 2019
Siwezi kuwaongezea wauguzi mishahara, watosheke na Sh100,000 – Gavana Ojaamong
Na GAITANO PESSA GAVANA wa Kaunti ya Busia Sospeter Ojaamong amesema kuwa serikali yake kamwe haitawalipa wauguzi marupurupu yao ya...
- by adminleo
- February 6th, 2019
Kaunti 21 zaitwa kusuluhisha zogo la wauguzi
Na PETER MBURU KAMATI ya seneti kuhusu leba Jumatano iliamrisha serikali za kaunti 21 pamoja na Baraza la Magavana (CoG) kufika mbele...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Wauguzi wafutilia mbali mgomo
Na BENSON AMADALA WAUGUZI wamefutilia mbali mgomo wao uliokuwa umepangiwa kuanza usiku wa kuamkia Jumapili. Notisi ya mgomo huo...
- by adminleo
- November 12th, 2018
Tutagoma kuanzia Novemba 21 – Wauguzi
Na ALEX NJERU KATIBU Mkuu wa Chama cha Wauguzi Kenya (KNUN), tawi la Kaunti ya Tharaka-Nithi, Bw Fabian Marigu amesisitiza kwamba mgomo...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
KNH: Wauguzi washtakiwa kumuua mgonjwa wa kansa kinyama
Na RICHARD MUNGUTI MWANAMKE alibubujikwa na machozi Jumatatu aliposimulia jinsi alikuta maiti ya mumewe imelazwa katika kitanda...