• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM
TAHARIRI: Mafunzo hatari ya kiroho ni tishio kwa jamii, usalama

TAHARIRI: Mafunzo hatari ya kiroho ni tishio kwa jamii, usalama

NA MHARIRI

KUGUNDULIWA na kufukuliwa kwa makaburi ya halaiki ya watu wanaoshukiwa kuwa wafuasi wa mhubiri Paul Makenzie huko kaunti ya Kilifi kunaonyesha kupanuka kwa mafunzo yenye itikadi kali na athari zake hasi kwa jamii.

Kufikia jana Jumapili, idadi ya miili ya wafu wanaoaminika waliangamia wakiwa kwa mfungo wa kutokula wala kunywa iliyofukuliwa katika makaburi ilifika 39.

  • Tags

You can share this post!

Kaunti 5 kushirikiana kuzima wizi wa dawa

CHARLES WASONGA: Murkomen afuatilie jitihada za kudhibiti...

T L