• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 8:57 PM
Mke wa Achraf Hakimi aliyeomba talaka akitaka afaidi mali ashtuka kuambiwa ukwasi uko kwa mamake mchezaji huyo

Mke wa Achraf Hakimi aliyeomba talaka akitaka afaidi mali ashtuka kuambiwa ukwasi uko kwa mamake mchezaji huyo

NA MASHIRIKA

MKE wa nyota wa PSG Achraf Hakimi, Hiba Abouk amewasilisha kesi ya talaka, akidai zaidi ya nusu ya mali na utajiri wa mumewe.

Alipofika mahakamani, iligundulika kwamba Achraf Hakimi alikuwa amesajili mali yake yote chini ya jina la mama yake mzazi.

Asilimia 80 ya Euro Milioni 1 anazopokea kutoka PSG kila mwezi huwekwa kwenye akaunti ya mamake.

Cha kushangaza ni kuwa, mchezaji wa timu ya taifa ya Morocco mali yake yote yakiwemo, magari, nyumba, vito vya thamani vyote vimeandikishwa kawa jina la mamake na si lake.

TAFSIRI NA AREGE RUTH

  • Tags

You can share this post!

Bayern wamtema Sadio Mane kikosini kwa sababu ya utovu wa...

Mbunge aitaka kampuni ya Kenyatta kumlipa Sh10 milioni

T L