• Nairobi
  • Last Updated May 20th, 2024 9:16 PM
Adai Joho amzuia kuonana na Raila

Adai Joho amzuia kuonana na Raila

NA WINNIE ATIENO

MWANIAJI wa Ugavana kaunti ya Mombasa, Bw Hezron Awiti amelalamika kuwa Gavana Hassan Joho anamzuia kumuona kinara wa chama cha ODM Bw Raila Odinga.

Alisema Bw Joho amekuwa akimwekea visiki asimfikie Bw Odinga.

“Haiwezekani kuwa unataka kura za jamii yetu ilhali hutaki tumfikie Bw Odinga,” alisema Bw Awiti.

You can share this post!

Naibu Rais apuuza umaarufu wa Raila maeneo ya Pwani

Gachagua aahidi kupiga marufuku mchele wa nje

T L