VICTOR RABALLA Na SHABAN MAKOKHA
VIONGOZI wa eneo la Magharibi mwa Kenya wanamshutumu mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Nchini (IEBC), Wafula Chebukati wakidai anapanga njama ya kumwibia kura mwaniaji mmoja wa ugavana katika Kaunti ya Kakamega.