NA BRIAN OJAMAA
KIONGOZI wa chama cha Ford Kenya, Bw Moses Wetangula amemhakikishia Rais anayeondoka Uhuru Kenyatta kuwa, serikali ya Kenya Kwanza itahakikisha amepata kazi na majukumu ya kimataifa baada ya kukamilisha muhula wake.
Alikuwa akihutubia waombolezaji Ijumaa katika eneobunge la Kanduyi.