• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 8:50 AM
Pigo kwa Ruto wakati Obado akihama ‘Tangatanga’

Pigo kwa Ruto wakati Obado akihama ‘Tangatanga’

Na IAN BYRON

NAIBU Rais William Ruto amepata pigo eneo la Nyanza, baada ya Gavana Okoth Obado wa Migori kuhama kambi ya ‘Tangatanga.’

Kwenye hatua ambayo imewashangaza wengi, Bw Obado alisema hatashirikiana tena na Dkt Ruto, licha ya kuandamana naye kwenye mikutano kadhaa aliyofanya katika eneo hilo mnamo Septemba.

You can share this post!

Papa Francis amteua askofu mpya Bungoma

Wanaoishi ng’ambo kuchagua rais 2022

T L