• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 2:19 PM

Polisi wakana kuhujumu ushahidi katika kesi ya Obado

NA JOSEPH WANGUI POLISI wawili Jumanne walikabiliwa na kibarua kigumu mahakamani kujitetea dhidi ya tuhuma za kuvuruga ushahidi, kwenye...

Pigo kwa Ruto wakati Obado akihama ‘Tangatanga’

Na IAN BYRON NAIBU Rais William Ruto amepata pigo eneo la Nyanza, baada ya Gavana Okoth Obado wa Migori kuhama kambi ya...

Obado aanza kusaka ufuasi eneo la Pwani

Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Migori, Bw Okoth Obado, ameanzisha mpango wa kusaka ufuasi katika eneo la Pwani, kwa maandalizi ya uchaguzi...

Mshukiwa katika kesi ya Obado ajifungua huku bintize wakidungwa mimba kesi yapelekwa februari 2022

Na RICHARD MUNGUTI KUSIKIZWA kwa kesi ya ufisadi ya Sh73.4milioni inayomkabili Okoth Obado,watoto wake wanne na wengine 13 kumeahirishwa...

Wasaka kazi ya uzeeni 2022

WANDERI KAMAU na LEONARD ONYANGO HUKU mashindano ya kuingia Ikulu baadaye mwaka ujao yakionekana kuwa baina ya ‘farasi’ wawili,...

Obado atishia kubomoa ngome ya Raila

Na IAN BYRON HATUA ya gavana wa Migori, Okoth Obado kuhama chama cha ODM na kujiunga na kile cha Peoples Democratic Party (PDP), inazidi...

Obado akiri kupotosha wakazi kuhusu corona

Na IAN BYRON GAVANA wa Migori, Okoth Obado amewaomba msamaha wakazi wa kaunti hiyo kwa kuwataka wasizingatie masharti ya kuzuia kuenea...

Mashirika yataka Obado aendelee na kazi

Na IAN BYRON MASHIRIKA ya kijamii katika Kaunti ya Migori yamewasilisha ombi kwa Kiongozi wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, ili...

Mambo bado kwa gavana Obado na wanawe wanne

Na RUTH MBULA GAVANA wa Migori Okoth Obado na wanawe wanne Jumatano walijisalimisha kwa afisi za Tume ya Maadili na Kukabiliana na...

Haji aagiza Obado akamatwe

Na JUMA NAMLOLA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji ameagiza Gavana wa Migori, Okoth Obado akamatwe kuhusiana na...