• Nairobi
  • Last Updated May 21st, 2024 10:55 AM
Ruto, Azimio-K wang’ang’ania Nyayo, Kasarani

Ruto, Azimio-K wang’ang’ania Nyayo, Kasarani

NA WANDERI KAMAU

NAIBU Rais William Ruto na muungano wa Azimio la Umoja wameanza kuzozana kuhusu atakayeandaa mkutano wake wa mwisho wa kisiasa katika viwanja vya michezo vya Nyayo na Kasarani.

Hii ni baada ya Bodi ya Kusimamia Viwanja Kenya (SK) kusema viwanja hivyo vitakuwa vikitumika kwa “shughuli za kueneza amani nchini” kati ya Agosti 5 na 7.

  • Tags

You can share this post!

CECIL ODONGO: Mizani ya kupima wawaniaji si upevu wa...

Wanne wapatikana na hatia ya kuua wakili Willie Kimani,...

T L