Na MACHARIA MWANGI
BARAZA la wazee Kaunti ya Nakuru limemwidhimisha Mkurugenzi Mkuu wa Keroche Breweries, Bi Tabitha Karanja, kuwania kiti cha Useneta kaunti hiyo.
Meya wa zamani wa kaunti hiyo, Bw Benson Mwangi aliongoza sherehe hiyo Jumatatu, akisema Bi Karanja ni mchapa kazi na ndiye anayefaa.