Tag: BENKI
- by adminleo
- April 18th, 2018
CBK yaonya Kenya itabanwa kuomba mikopo kimataifa
Na BERNARDINE MUTANU Benki Kuu ya Kenya(CBK) sasa imeonya kuwa huenda serikali ikose kabisa uwezo wa kuchukua mikopo kutoka kwa mashirika...
- by adminleo
- April 18th, 2018
Azma ya Gladys Wanga kugeuza chama kuwa benki
Na BERNARDINE MUTANU Mwakilishi wa Kike Homabay Gladys Wanga analenga kubadilisha chama cha kina mama eneo la Nyanza kuwa benki. Chama...
- by adminleo
- April 17th, 2018
Kesi 5 za wizi benki ya Equity kuunganishwa
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa mashtaka ya umma (DPP) Bw Noordin Haji atajumuisha kesi tano dhidi ya wafanyakazi wa benki ya Equity...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Benki ya NIC itainyanyua Uchumi?
Na BERNARDINE MUTANU Duka la Uchumi limegeukia Benki ya NIC kulisaidia kukabiliana na changamoto za kifedha linaloshuhudia. Hii ni...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Ajuta kukopa Sh700,000 kutoka kwa benki kulipa mganga
Na WAANDIDHI WETU MWANAMUME aliyechukua mkopo kumlipa mganga amsaidie kumrudisha mkewe aliyetoroka, sasa anataka mganga huyo ashtakiwe...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Barclays yazindua apu kuwapa wateja mikopo
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Barclays imezindua matumizi ya teknolojia ya simu ambayo yatasaidia wawekezaji wadogo kupata mikopo kwa njia...
- by adminleo
- March 20th, 2018
Hali ngumu ya uchumi yapunguza faida ya benki ya Co-operative
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Co-operative imeandikisha kupungukiwa kwa faida baada ya mapato yake kutozwa ushuru kwa mwaka wa...
- by adminleo
- March 14th, 2018
National Bank yafunga matawi kubana matumizi
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya National imefunga baadhi ya matawi katika mkakati mpya wa kupunguza gharama na kukuza mapato. Benki hiyo...
- by adminleo
- March 14th, 2018
Pesa zenu zi salama, KCB yawahakikishia wateja waliolalamika kupoteza maelfu kwa akaunti
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya KCB imejitetea kuhusiana na madai kuwa pesa za wateja wake zilikuwa zikipunguzwa bila wao...
- by adminleo
- March 14th, 2018
KCB yasema kiwango cha riba kimeipunguzia mapato
Na BERNARDINE MUTANU Benki ya KCB imetangaza faida ya Sh19.7 bilioni mwaka wa 2017 baada ya kutozwa ushuru. Faida hiyo haikupanda, suala...
- by adminleo
- March 6th, 2018
Vitabu vilivyopewa wanafunzi na Serikali vimejaa makosa – Walimu
Na VALENTINE OBARA Kwa ufupi: Walimu wasema walianza kugundua makosa mengi mara walipopewa vitabu hivyo, na sasa wamelazimika...
- by adminleo
- February 13th, 2018
Mtaa wa Kitisuru kupigwa mnada baada ya kampuni iliyoujenga kelemewa na deni
[caption id="attachment_1367" align="aligncenter" width="800"] Afisa wa kampuni iliyojenga mtaa huo alidinda kufichua benki inayowadai pesa...