• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:10 PM

CBK yaonya Kenya itabanwa kuomba mikopo kimataifa

Na BERNARDINE MUTANU Benki Kuu ya Kenya(CBK) sasa imeonya kuwa huenda serikali ikose kabisa uwezo wa kuchukua mikopo kutoka kwa mashirika...

Azma ya Gladys Wanga kugeuza chama kuwa benki

Na BERNARDINE MUTANU Mwakilishi wa Kike Homabay Gladys Wanga analenga kubadilisha chama cha kina mama eneo la Nyanza kuwa benki. Chama...

Kesi 5 za wizi benki ya Equity kuunganishwa

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa mashtaka ya umma (DPP) Bw Noordin Haji atajumuisha kesi tano dhidi ya wafanyakazi wa benki ya Equity...

Benki ya NIC itainyanyua Uchumi?

Na BERNARDINE MUTANU Duka la Uchumi limegeukia Benki ya NIC kulisaidia kukabiliana na changamoto za kifedha linaloshuhudia. Hii ni...

Ajuta kukopa Sh700,000 kutoka kwa benki kulipa mganga

Na WAANDIDHI WETU MWANAMUME aliyechukua mkopo kumlipa mganga amsaidie kumrudisha mkewe aliyetoroka, sasa anataka mganga huyo ashtakiwe...

Barclays yazindua apu kuwapa wateja mikopo

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Barclays imezindua matumizi ya teknolojia ya simu ambayo yatasaidia wawekezaji wadogo kupata mikopo kwa njia...

Hali ngumu ya uchumi yapunguza faida ya benki ya Co-operative

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya Co-operative imeandikisha kupungukiwa kwa faida baada ya mapato yake kutozwa ushuru kwa mwaka wa...

National Bank yafunga matawi kubana matumizi

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya National imefunga baadhi ya matawi katika mkakati mpya wa kupunguza gharama na kukuza mapato. Benki hiyo...

Pesa zenu zi salama, KCB yawahakikishia wateja waliolalamika kupoteza maelfu kwa akaunti

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya KCB imejitetea kuhusiana na madai kuwa pesa za wateja wake zilikuwa zikipunguzwa bila wao...

KCB yasema kiwango cha riba kimeipunguzia mapato

Na BERNARDINE MUTANU Benki ya KCB imetangaza faida ya Sh19.7 bilioni mwaka wa 2017 baada ya kutozwa ushuru. Faida hiyo haikupanda, suala...

Vitabu vilivyopewa wanafunzi na Serikali vimejaa makosa – Walimu

Na VALENTINE OBARA Kwa ufupi: Walimu wasema walianza kugundua makosa mengi mara walipopewa vitabu hivyo, na sasa wamelazimika...

Mtaa wa Kitisuru kupigwa mnada baada ya kampuni iliyoujenga kelemewa na deni

[caption id="attachment_1367" align="aligncenter" width="800"] Afisa wa kampuni iliyojenga mtaa huo alidinda kufichua benki inayowadai pesa...