• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Echesa akabidhi afisi kwa Amina

Na LEONARD ONYANGO WAZIRI wa Michezo aliyetimuliwa Rashid Echesa, Jumanne alikabidhi rasmi afisi kwa Amina Mohamed aliyehamishwa kutoka...

K’Ogalo yapigwa Algeria mashabiki wakimlia refa

Na GEOFFREY ANENE KLABU ya Gor Mahia ilipata pigo kubwa katika kampeni ya kuingia robo-fainali ya Kombe la Mashirikisho la Afrika baada ya...

Mashabiki wa Gor, NAHD wachemshana mtandaoni

Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa Gor Mahia waliendelea kujipiga kifua kwamba wataibisha Hussein Dey (NAHD) kwao Algeria, huku Jumatatu...

Wabunge na maseneta kumumunya Sh400 milioni michezoni Burundi

CHARLES WASONGA na PETER MBURU HUKU nchi inapoendelea kuzongwa na changamoto za kifedha, wabunge na maseneta wamesafiri nchini Burundi...

UFISADI: Kashfa mpya ya Sh1.7b yafichuka Wizara ya Michezo

Na DAVID MWERE ZIMWI la Ufisadi linaloandama idara mbalimbali za serikali halijasaza Wizara ya Michezo baada ya afisi ya Mkaguzi Mkuu wa...

WATOTO: Mwigizaji mahiri anayetesa kila afikapo jukwaani

Na PATRICK KILAVUKA WAKATI mwingine wanadamu hupenda kutumia hekima yao ya kibinadamu kuyakatiza makusudio ya Mola kwa kujiona kana kwamba...

Tamasha zang’oa nanga kwa shairi la kusisimua

Na ANTHONY NJAGI AWAMU ya 59 ya michezo ya kuigiza ya kitaifa baina ya shule na vyuo yalianza Jumanne katika shule ya wavulana ya...

Waziri Echesa ashauriwa arudi shuleni kunoa maarifa

 Na JOHN NGIRACHU na CHARLES WASONGA Kwa ufupi: Ukakamavu wa Bw Echesa utamfaidi zaidi ikiwa ataanza kujiimarisha kimasomo akiwa...

TAHARIRI: Wabunge waache kutumiwa visivyo

[caption id="attachment_1353" align="aligncenter" width="800"] Bw Rashid Achesa aliyeidhinishwa na  wabunge kusimamia Wizara ya Michezo....

Mechi ya Ingwe dhidi ya Wazito yaahirishwa

[caption id="attachment_1272" align="aligncenter" width="800"] Duncan Otieno (kulia) wa AFC Leopards apambana na Piepre Michael Tavina...

Echesa akodolea macho kutemwa kutokana na kiwango chake cha elimu

[caption id="attachment_1353" align="aligncenter" width="800"] Bw Rashid Echesa aliyeteuliwa kusimamia Wizara ya Michezo....

AFC Leopards pabaya katika CAF baada ya kukubali sare

[caption id="attachment_1272" align="aligncenter" width="800"] Duncan Otieno (kulia) wa AFC Leopards apambana na Piepre Michael Tavina...