• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 5:55 AM

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina yaizidi maarifa Ufaransa kupitia penalti

CHRIS ADUNGO Na GEOFFREY ANENE ARGENTINA ndio wafalme wapya wa soka duniani baada ya kufunga Ufaransa penalti 4-2 kufuatia sare ya 3-3...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Mbivu na mbichi kuhusu nani mkali kati ya Messi na Mbappe kujulikana ugani Lusail Iconic

Na MASHIRIKA MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kati ya kigogo Lionel Messi wa Argentina na nyota Kylian Mbappe wa Ufaransa itajulikana...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina watinga hatua ya 16-bora

Na MASHIRIKA ARGENTINA walifuzu kwa raundi ya 16-bora ya Kombe la Dunia mwaka huu baada ya kutandika Poland 2-0 katika mchuano wao wa...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Argentina roho juu wakishuka dimbani kuvaana na Saudi Arabia katika Kundi C

Na MASHIRIKA NYOTA Lionel Messi ataongoza Argentina kupepetana na Saudi Arabia katika mechi ya Kundi C ugani Lusail Iconic. Mabingwa...

Argentina pua na mdomo kufuzu kwa Kombe la Dunia baada ya kukung’uta Uruguay

Na MASHIRIKA ARGENTINA wanatarajiwa kufuzu kwa fainali zijazo za Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kusajili ushindi wa 1-0 dhidi ya...

Argentina na Paraguay waambulia sare tasa katika mechi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022

Na MASHIRIKA ARGENTINA walishindwa kupenya ngome ya Paraguay waliowalazimishia sare tasa katika mechi ya Alhamisi usiku kufuzu kwa...

Gozi la Brazil dhidi ya Argentina latibuka kwa madai wanasoka wanne wa Argentina walikiuka kanuni za Covid-19

Na MASHIRIKA GOZI la Jumapili la kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia za 2022 kati ya wenyeji Brazil na Argentina lilitibuka dakika...

Argentina wakung’uta Brazil na kutwaa taji la Copa America

Na MASHIRIKA SUBIRA ya Lionel Messi kutia kapuni taji la kwanza katika soka ya kimataifa hatimaye ilimvutia heri Jumamosi usiku Argentina...

Argentina na Chile watoka sare ya 1-1 kwenye mechi ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia 2022

Na MASHIRIKA ARGENTINA walipoteza fursa ya kuwapita Brazil kileleni mwa jedwali la vikosi vinavyowania tiketi ya kufuzu kwa fainali za...

Uadui wa Argentina, Brazil wafufuka leo Ijumaa

Na MASHIRIKA ARGENTINA itakaribisha washambuliaji matata Lionel Messi na Sergio Aguero katika kikosi chake itakapofufua uhasama leo...

Argentina wawafagia Qatar, sasa ni Venezuela robo fainali

Na MASHIRIKA PORTO ALEGRE, BRAZIL NYOTA wa Manchester City, Sergio Aguero aliwafungia Argentina bao la pili katika ushindi wa 2-0...